Bei ya Nokia E6-00

Bei ya Nokia E6-00

Strictly Syrup

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2013
Posts
1,227
Reaction score
1,821
Ni kwa neema ya Mwenyezi inayotupa uzima.
Wakuu mimi nipo Dodoma naomba kuulizia bei ya Nokia E6 kwa dukani kabisa, Maana nimetembelea site mbalimbali naona tu last sold price. Je kwa hapa tz possible price au actual price kwa sasa ni kiasi gani???

nokia-e6-black-main-lg.jpg
 
Hivi bado kuna watu wanatumia nokia hadi leo. ambazo hazina android wala windows mobile 8. Kweli tunatofauti.
 
Ni kwa neema ya Mwenyezi inayotupa uzima.
Wakuu mimi nipo Dodoma naomba kuulizia bei ya Nokia E6 kwa dukani kabisa, Maana nimetembelea site mbalimbali naona tu last sold price. Je kwa hapa tz possible price au actual price kwa sasa ni kiasi gani???

nokia-e6-black-main-lg.jpg

ipo used laki na 20 nipo mwanza mimi internal memory 8Gb
 
duu nyie noma hata mwanang wa la pili nikimpa hapokei coz mi mpezi wa racing games ashaxoea kuendesha cm kama gar
 
duu nyie noma hata mwanang wa la pili nikimpa hapokei coz mi mpezi wa racing games ashaxoea kuendesha cm kama gar

kaka hii simu ina ppi 325 ni kubwa sana kwa simu ambayo mikononi inapatikana kama hvyo laki na 20. halafu zipo decent games za symbian belle ambazo ni hd japo si nyingi kama android.

3_need_for_speed_shift_hd.jpg


hilo ni need for speed na hili ni asphalt

4_asphalt_6_adrenaline_hd.jpg
 
Mara ya mwisho kuulizia pale mlimani city january 2013 ilikuwa 650,000/- hadi 630,000/- na zilikuwa zimeisha nimetembelea juzi juzi sikuziona tena ila me ninayo ya muda tangu 2011 ilikuwa 700,000/- palepale mlimani city
 
Cha ajabu kipi hiyo simu ni nzuri na ina ubora kuliko hata hizo galaxy zenu ambazo ni charge less simu unanunua laki 7 ila camera yake utakuta 5 megapixel memory imejitahidi sana labda 4gb me nina smartphone ila naifanya km ya kuuzia sura tu name nionekane nipo kwenye android but still hii e6-siwezi iacha hata wenye hizo simu za promotion kwenye issue za picha huwa wanatumia hii yenye 8mega pix memory 8 gb camera back na front betry imara pia ni both touch na ina keypad sion ubaya wa kuacha hizo simu.
 
kaka hii simu ina ppi 325 ni kubwa sana kwa simu ambayo mikononi inapatikana kama hvyo laki na 20. halafu zipo decent games za symbian belle ambazo ni hd japo si nyingi kama android.

3_need_for_speed_shift_hd.jpg


hilo ni need for speed na hili ni asphalt

4_asphalt_6_adrenaline_hd.jpg

Nnapenda kujaribu jaribu simu tofauti.tunaongelea nokia E6.na sio e66.
Kama ndiyo hiyo nihifadhie mpaka mwezi ujao moja ya product ya nokia iliyonipita ni hio ya belle na Anna
 
Nnapenda kujaribu jaribu simu tofauti.tunaongelea nokia E6.na sio e66.
Kama ndiyo hiyo nihifadhie mpaka mwezi ujao moja ya product ya nokia iliyonipita ni hio ya belle na Anna

Kwa vigezo ilivyonavyo hii simu ni madhubuti, japo OS yake ni Symbian.
 
Kwa vigezo ilivyonavyo hii simu ni madhubuti, japo OS yake ni Symbian.

Nakubaliana na wewe. Nina Nokia E5-00, sijajutia kuwa nayo na huu ni mwaka wa pili iko bomba sana. Chaji inadumu muda mrefu sana nikilinganisha na Galaxy ambayo nimeweka laini isiyo busy sana, lakini haidumu na chaji. Wanaoponda simu hio hapo juu hawajaijua tu.
 
Nakubaliana na wewe. Nina Nokia E5-00, sijajutia kuwa nayo na huu ni mwaka wa pili iko bomba sana. Chaji inadumu muda mrefu sana nikilinganisha na Galaxy ambayo nimeweka laini isiyo busy sana, lakini haidumu na chaji. Wanaoponda simu hio hapo juu hawajaijua tu.

Kweli kabisa hizo simu ni bora na imara sana
 
Nnapenda kujaribu jaribu simu tofauti.tunaongelea nokia E6.na sio e66.
Kama ndiyo hiyo nihifadhie mpaka mwezi ujao moja ya product ya nokia iliyonipita ni hio ya belle na Anna

anaeuza ni ngosha2011 sio mimi kaka
 
Last edited by a moderator:
Hii simu trust me haishuki bei dukani, labda kwa mtu mkononi. Dukani bei yake ni kubwa aisee. Naamini alichokisema @tibruc71 hapo juu
 
Back
Top Bottom