Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,227
- 1,821
Ni kwa neema ya Mwenyezi inayotupa uzima.
Wakuu mimi nipo Dodoma naomba kuulizia bei ya Nokia E6 kwa dukani kabisa, Maana nimetembelea site mbalimbali naona tu last sold price. Je kwa hapa tz possible price au actual price kwa sasa ni kiasi gani???
Wakuu mimi nipo Dodoma naomba kuulizia bei ya Nokia E6 kwa dukani kabisa, Maana nimetembelea site mbalimbali naona tu last sold price. Je kwa hapa tz possible price au actual price kwa sasa ni kiasi gani???