Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,353
Ahh wewe wa Chato wenyewe tunao mjini ahame nani?![]()
I have an idea tupikeni ule wa vitumbua hadi ushuke bei ila mjini hatuhami
Ahh wewe wa Chato wenyewe tunao mjini ahame nani?![]()
I have an idea tupikeni ule wa vitumbua hadi ushuke bei ila mjini hatuhami
Acha urongo. Mchele wa 1200 uliuona wapi Dar ? Mchele mzuri 2000 mpaka 2500Jamani hili ni janga la taifa. Hivi wananchi hatuna utamaduni wa kutunza hakiba au wafanyabiashara wanakomoa wakitaka kutengeneza faida juu ya faida? Juzi juzi tu mchele mzuri Dar ulikuwa unapatikana kati ya 1,200 hadi 2,000. Sasa hivi kilo moja hadi 2,800??
Nasisi vijijini hatuhami hadi upande![]()
I have an idea tupikeni ule wa vitumbua hadi ushuke bei ila mjini hatuhami
Kaulimbiu ya awamu hii "watu waishi kama mashetani"Jamani hili ni janga la taifa. Hivi wananchi hatuna utamaduni wa kutunza hakiba au wafanyabiashara wanakomoa wakitaka kutengeneza faida juu ya faida? Juzi juzi tu mchele mzuri Dar ulikuwa unapatikana kati ya 1,200 hadi 2,000. Sasa hivi kilo moja hadi 2,800??
Kaka unaye dereva ?Kuna siku utakuja kuona anaendesha hilo gari lako la miguu miwili. Halafu anakula kwako ? Au wewe ni mpare hata mshahara humpi unamkopa mtt wa watu.Kama ni familia ya watoto wawili, baba, mama, dada wa kazi na dereva ni kilo mbili mlo mmoja. Bado mboga, juice na salad

Dereva? Uwe na dereva wa kuendesha familia halafu ulalamike kununua kilo mbili za mchele, ie Tsh. 6,000 then huyo dereva yupo kwenye list ya wanaokula home pamoja na mshahara...Kama ni familia ya watoto wawili, baba, mama, dada wa kazi na dereva ni kilo mbili mlo mmoja. Bado mboga, juice na salad
Jamani hili ni janga la taifa. Hivi wananchi hatuna utamaduni wa kutunza hakiba au wafanyabiashara wanakomoa wakitaka kutengeneza faida juu ya faida? Juzi juzi tu mchele mzuri Dar ulikuwa unapatikana kati ya 1,200 hadi 2,000. Sasa hivi kilo moja hadi 2,800??