Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,009
- 17,457
Jamani hili ni janga la taifa. Hivi wananchi hatuna utamaduni wa kutunza hakiba au wafanyabiashara wanakomoa wakitaka kutengeneza faida juu ya faida? Juzi juzi tu mchele mzuri Dar ulikuwa unapatikana kati ya 1,200 hadi 2,000. Sasa hivi kilo moja hadi 2,800??