kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,785
Baada ya kauli iliyotolewa na rais JPM wakati akizindua kiwanda cha mafuta huko shinyanga kuwa ataongeza kodi kwenye bidhaa za mafuta zinazoingizwa nchini kutoka nje,bei ya mafuta yanaozalishwa hapa nchini imepanda ghafla. Bei ya mafuta lita 20 ilikuwa tsh. 58000/-imepanda hadi tsh. 62000/-.ctn ya mafuta lita tano ilikuwa 57000/-sasa ni 61000/-ctn ya lita moja ilikuwa 36000/-sasa ni 39000/-my take :rais angeongeza kodi kimya kimya badala ya kutamka hadharani kuwa ataongeza kodi kwenye mafuta yanayoingizwa kutoka nje ili kulinda viwanda vya ndani.