TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,817
- 3,141
Hali ni mbaya mpaka kitunguu nacho bei juu
Tuambie hapa bei ya kitunguu ikoje mtaani kwako?
Tuambie hapa bei ya kitunguu ikoje mtaani kwako?
Usisahau kuna vya mda mfupi ni km vya plastic ndani ni nylon tupuKakitunguuuuu kadunchu...miambili
elfu 4 , karoti elfu 3,Hali ni mbaya mpaka kitunguu nacho bei juu
Tuambie hapa bei ya kitunguu ikoje mtaani kwako?
Mpemba janja sana, yeye sokoni anenda mwenyewe ila gengeni kwake anamsubiri mke wa mdau kama huyu🤣Kumbe mpaka vitunguu navyo vimekuwa dili.
Sisi wengine tukishaacha kodi ya meza tunajua kula tu tukirudi.
Hii nchi ni kama iliyolaaniwa. Itafikia wakati mpaka nyasi zitakuwa dili maana tunakoelekea ndio zitakuwa mbadala wa mboga.
Nimenunua jana Kg moja TZS 5000Hali ni mbaya mpaka kitunguu nacho bei juu
Tuambie hapa bei ya kitunguu ikoje mtaani kwako?
Naunga mkono hojaHii nchi unaweza kuhisi imelaaniwa. Kila kitu ni vurugu vurugu tu.