kwa ChalamilaWapi huko
Wengine Maji tunachota mtoni na kwenye visima🤠🤠😁!
Poleni sana, sweetheart... Gharama za uendeshaji generator to much...Wengine Maji tunachota mtoni🤠🤠😁!
Umeme ndio Kero kubwa
Acha kabisa hii nchi hiii...!Poleni sana, sweetheart... Gharama za uendeshaji generator to much...
Mbona leo kwetu hawajakata umeme?Kwa mkoani zipo mikoa maji ni bwerere ila umeme ni janga la taifa.
Eti. Kwa kifupi hii Feb sijaona umeme kukatika zaidi ya masaa ma5Huku Arusha umeme ni nwingi maji ni mengi unyama ni mwingi !
Mwanza shida ni kubwaMwanza ndio kichekesho yani ziwa unaliangalia huku bomba likipumua upepo