Kama una matatizo ya mgongo, nunua godoro la spring la tanfoam hutojutia. Bei ya mwaka juzi ilikua Tsh 550,000/- Size 5x6. La ukweli sana hutojutia.
Kampuni iseme kitu la sivyo watapoteza wateja wengi. Mimi nimekuwa mteja wao lkn ukinunua miaka 2 bahati . Yani unaumia mgongo.Hapa ndo kampuni zinafeli, au wafanyakazi wao wanahujumu, kampuni inatakiwa ipambane ili kulinda brand, lazma wananchi wajulishwe kuhusu ubora wa bidhaa, Na sio kukaa kimya , na kutoa mianya ya bidhaa fake mtaani, nimetembelea website ya tanfomu ipo dormant na more complicated, hawaoni jins samsung anavyofight kulinda brand dhidi ya bidhaa fake, tena worldwide...
Wakuu nataka kununua godoro bora, na sio la kuumiza mgongo, katika kutafuta taarifa humu nikagundua Magodoro ya Tanfomu na QFL magodoro Dodoma ndo the best,
Kama kawaida nikaingia mtaani kusaka godoro la inch 8, 5×6..
Kwa kampuni zote mbili, Wengine wanauza 260000, wengine wanauza 300000, nilipomuuliza anayeuza 300000 kuwa kwa nn wengine wanauza 260000 na yeye kangangania piga ua mwisho 300000, akadai hayo ya 260k ni fake,
Naomba msaada kwa waliowah kununua haya magodoro upande wa bei, je bei ya 300k kwa inch 8 , 5×6 ndo bei yenyewe au miyeyusho,
Natanguliza shukrani
Mimi nimenunua 260,000 Tanform Og
Bei zao zipo vipi?! Hiyo inch 10 uliyonunua, ni 5x6 au 6x6?Hii mkuu sikubaliani na wewe, mimi ninalo nchi 10 nilinunua kwenye duka lao mpaka leo lipo fresh na umeshapita mwaka mmoja sasa.
Kunguni MkuuYapo ya mtumba kutoka majuu nayo mazuri...
Duh! Nili-search uzi wa aina hii ili kupata taarifa kwa 6x6 (x8 au 10). Sasa kama 5x6 ni 330K, 6x6 ( 8 au 10) si itakuwa zaidi ya gwala?! Akili zangu nazijuaga mwenyewe, sikawagi ku-import mimi, hata kama ni godoro!!Ahsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
Nilinunua inch 10 toka 2009 yaani ni Kama nimemuua jana. Godoro nene lina raha yake bhana. Ukishindwa walau hiyo nane lakini QFL is the bestTafuta la nchi 10 au 12 ndo utapata uroda ukilala
Umenunulia wapi na ni la size gani?Mimi nimenunua 260,000 Tanform Og
Wakuu nataka kununua godoro bora, na sio la kuumiza mgongo, katika kutafuta taarifa humu nikagundua Magodoro ya Tanfomu na QFL magodoro Dodoma ndo the best,
Kama kawaida nikaingia mtaani kusaka godoro la inch 8, 5×6..
Kwa kampuni zote mbili, Wengine wanauza 260000, wengine wanauza 300000, nilipomuuliza anayeuza 300000 kuwa kwa nn wengine wanauza 260000 na yeye kangangania piga ua mwisho 300000, akadai hayo ya 260k ni fake,
Naomba msaada kwa waliowah kununua haya magodoro upande wa bei, je bei ya 300k kwa inch 8 , 5×6 ndo bei yenyewe au miyeyusho,
Natanguliza shukrani
Dah hilo lenye uroda ndo lenyeweTafuta la nchi 10 au 12 ndo utapata uroda ukilala