Bei ya Godoro la Tanfom Arusha na QFL Dodoma

Ahsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
 
kwahyoo siku hizi ....great thinker wana uliza bei ya magodoro .....?


Mwakani great thinkers watauliza hadi bei ya chupi na chandarua ..........








Oh my enemy wants to kill me for no reasons.......
 
Hapa ndo kampuni zinafeli, au wafanyakazi wao wanahujumu, kampuni inatakiwa ipambane ili kulinda brand, lazma wananchi wajulishwe kuhusu ubora wa bidhaa, Na sio kukaa kimya , na kutoa mianya ya bidhaa fake mtaani, nimetembelea website ya tanfomu ipo dormant na more complicated, hawaoni jins samsung anavyofight kulinda brand dhidi ya bidhaa fake, tena worldwide...
Kampuni iseme kitu la sivyo watapoteza wateja wengi. Mimi nimekuwa mteja wao lkn ukinunua miaka 2 bahati . Yani unaumia mgongo.
 
Hayo magodoro dodoma yananichanganya kuna siku muuzaji aliniambia kuna aina mbili za magodoro dodoma, kuna QFL magodoro dodoma na kuna magodoro dodoma asilia hata kwenye cover yameandikwa dodoma asilia sasa sijui ni kampuni mbili tofauti au ni kampuni 1
Wakuu nataka kununua godoro bora, na sio la kuumiza mgongo, katika kutafuta taarifa humu nikagundua Magodoro ya Tanfomu na QFL magodoro Dodoma ndo the best,
Kama kawaida nikaingia mtaani kusaka godoro la inch 8, 5×6..

Kwa kampuni zote mbili, Wengine wanauza 260000, wengine wanauza 300000, nilipomuuliza anayeuza 300000 kuwa kwa nn wengine wanauza 260000 na yeye kangangania piga ua mwisho 300000, akadai hayo ya 260k ni fake,
Naomba msaada kwa waliowah kununua haya magodoro upande wa bei, je bei ya 300k kwa inch 8 , 5×6 ndo bei yenyewe au miyeyusho,

Natanguliza shukrani
 
Ahsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
Duh! Nili-search uzi wa aina hii ili kupata taarifa kwa 6x6 (x8 au 10). Sasa kama 5x6 ni 330K, 6x6 ( 8 au 10) si itakuwa zaidi ya gwala?! Akili zangu nazijuaga mwenyewe, sikawagi ku-import mimi, hata kama ni godoro!!
 
Wakuu nataka kununua godoro bora, na sio la kuumiza mgongo, katika kutafuta taarifa humu nikagundua Magodoro ya Tanfomu na QFL magodoro Dodoma ndo the best,
Kama kawaida nikaingia mtaani kusaka godoro la inch 8, 5×6..

Kwa kampuni zote mbili, Wengine wanauza 260000, wengine wanauza 300000, nilipomuuliza anayeuza 300000 kuwa kwa nn wengine wanauza 260000 na yeye kangangania piga ua mwisho 300000, akadai hayo ya 260k ni fake,
Naomba msaada kwa waliowah kununua haya magodoro upande wa bei, je bei ya 300k kwa inch 8 , 5×6 ndo bei yenyewe au miyeyusho,

Natanguliza shukrani

Hiyo ni lugha ya biashara.
Ukiona wanakuzingua, nenda moja kwa moja kiwandani au kwenye maduka ya viwanda husika. Achana na mawakala.
 
Mwaka wa 2016 nilinunua Tanfoam inch 8 5*6 kwa Tsh. 216,000. Fake ndio yapo na ili kuepuka mkenge, nilichukua kwenye Godown yao. Na bei zake japo ni inch8 5*6 zinatofautiana Kuna TANFOAM PREMIUM, TANFOAM LOLITA, TANFOAM BILA COVER nk. Msimu wa sikukuu hasa Pasaka na Christmas huwa wanatoa punguzo hadi la 25%.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom