Beginner Level : Je, Online Freelancing ni nini? Kazi zinatoka wapi? Ni Skills gani zinahitajika? Nitalipwaje pesa? Jifunze kila kitu hapa

Ni fiber or upwork? Naweza kukuchek pm,?
Ni fiverr. upwork kuna competition sana maswala ya kutuma bids nk unakuta muda mwingi unautumia kutafuta kazi badala ya kufanya kazi. lakini fiverr ni easy unatangeneza gig then buyer wanakutafuta wenyewe sema kwenye kutengeneza gig yako ndio sehemu ya muhimu sana katika search engine ya fiverr pale buyer anapokuwa anatafuta service kwa kuserch na kutokana na ufanyaji wako wa kazi kama response time na deliver ndio zinasaidia gig na profile yako yako kurank high kwenye fiverr search engine
 
Na fiverr kuna swala la lever kwa seller kutokana na ufanyaji wa kazi wako na kueshimu terms and condition za fiverr. kila baada ya siku 31 fiverr wanapitia profile yako na kuangalia ufanyaji wako wa kazi kama unaendelea vizuri nk. mimi nipo kevel one saivi napambana niingie level 2 maana kadli unavyopanda level profile yako inazidi kurank na inasaidia kupata wateja kiurahisi.

Kuna jamaa nilikuwa nachat nae yeye ni level 2 ananiambia kila siku lazima apate order zaidi ya 3. kwa walio fiverr na km kuna platform nyingine mnafanya kazi tusaidiane kuelekezana maana online freelancer kuna fulsa kibao hasa kwa sisi wa ulimwengu wa 3
 
mkuu mimi nina interest sana ya kufanya kaz kama izi za kwenye computer maana pia napenda sana kutumia computer...ila sasa sijasomea mambo ya computer japo najiona kabisa nikipata mtu akani brash ni kama vile nitaweza....je, kwa haya niliyoyaeleza naweza kuwa proffessional kweli kama ninavyofikiria endapo nitapata lesson?? na vip kuusu upatakanaji wa seem za kujifunza??? naweza chukua mda gan mpaka kuja kuwa atleasts na idea kidogo za kufanyia kazi??
asante
Hizi kazi hazihitaji hata uwe umesomea computer. cha muhimu ujue basic ya computer itakayokuwezeka kufungua account na kusoma sehemu nzuri ambapo kuna material ya kutosha ni youtube. Ukitaka kujua huduma gani unaweza kutoa na ww ukalipwa ingia kwenye website ya fiverr browser km buyer utaona seller wengine wanatoa service gani na gig zao zikoje then brainstorm tu utajua service gani na ww utoe na utaweza kuideliver.

Kingine kuna watu wanaprofile fiverr kazi wanazopata wana outsorce kwa watu wengine wanafanya ingawa hii inakuwa haina faida sana maana percent ambayo fiverr wanakata pale unapomaliza kazi na kuliipwa ni 20% ya order yako
 
Ndg...shukurani kwa. Mada yako hii nzuri ...sijui nikupate Wapi ili tuongee vizuri na Mimi unifundishe..kwani Mimi ni Jobless..lkn ninja idea na computer... Na nina PC yangu hapa home..Nisaidie Ndg...!
 
Na fiverr kuna swala la lever kwa seller kutokana na ufanyaji wa kazi wako na kueshimu terms and condition za fiverr. kila baada ya siku 31 fiverr wanapitia profile yako na kuangalia ufanyaji wako wa kazi kama unaendelea vizuri nk. mimi nipo kevel one saivi napambana niingie level 2 maana kadli unavyopanda level profile yako inazidi kurank na inasaidia kupata wateja kiurahisi. kuna jamaa nilikuwa nachat nae yeye ni level 2 ananiambia kila siku lazima apate order zaidi ya 3. kwa walio fiverr na km kuna platform nyingine mnafanya kazi tusaidiane kuelekezana maana online freelancer kuna fulsa kibao hasa kwa sisi wa ulimwengu wa 3
Ndg kazi gani kwa wingi zinapatikana?
Je ni professional yoyote waweza kupata kazi?
 
Hizi kazi hazihitaji hata uwe umesomea computer. cha muhimu ujue basic ya computer itakayokuwezeka kufungua account na kusoma sehemu nzuri ambapo kuna material ya kutosha ni youtube. Ukitaka kujua huduma gani unaweza kutoa na ww ukalipwa ingia kwenye website ya fiverr browser km buyer utaona seller wengine wanatoa service gani na gig zao zikoje then brainstorm tu utajua service gani na ww utoe na utaweza kuideliver. Kingine kuna watu wanaprofile fiverr kazi wanazopata wana outsorce kwa watu wengine wanafanya ingawa hii inakuwa haina faida sana maana percent ambayo fiverr wanakata pale unapomaliza kazi na kuliipwa ni 20% ya order yako
asante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom