youngkato
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,254
- 2,910
Point 40 zitakazokusaidia ufanikiwe haraka kwenye freelancing.
Zote ni muhimu sana, Ukuzingatia
Ni rahisi sana kupata maokoto yako
1. Chagua niche (industry) ambayo ina demand kubwa ya wataalam na ushindani wake ni mdogo sana
Mfano AI, Blockchain, renewable energy, real estate etc
2. Jitahidi mambo yote unayofanya yaonekane Google search engine, Social media, portfolio, website.
Hakikisha Mtu akiingia online ajue huduma flani naipata kwa mtu flani
3. Jenga network kubwa na freelancer wengine pamoja na clients.
Epuka kujitenga na wadau wengine
4. Portfolio ni muhimu kuliko CV,
Hakikisha portfolio yako imeshiba
5. Freelancing ni kama bishara, ukizingua kidogo unapoteza wateja wako, unafungiwa accounts, unakuwa suspended kila sehemu.
Take it serious
6. Hakikisha una Over-deliver
Ukipata kazi ifanye iwe bora zaidi
Hii inakusaidia clients wakunganganie
7. Nenda na trend, ongeza skills mpya kila siku, update uwezo wako, kubali kufundishika.
Freelancing sio kazi ya kudumu ukizubaa unaachwa na new trends
8. Customer service ni muhimu sana, ukimuhudumia vizuri client, atarudi tu
9. Tambua thamani yako,
Kuwa na bei zinazoeleweka, usiogope kutaja bei freelancing ni biashara ya kuuza muda na ujuzi wako
10. Jifunze kutengeneza offer (offer creation) itakayomfanya client aridhike kukulipa
Negotiation skills ni muhimu
11. Wazungu na muda ni kitu wanaheshimu sana sana
Kuwa muwazi kuhusu muda wako
Full time au part time
Kuwa online muda wote wa kazi
12. Invest where you make money
Invest kwenye kozi ili uive zaidi
Hata kama unajua sana, lipia kozi za watu wakubwa itakusaidia sana
13. Diversify
Usipende kujifunga kwenye ujuzi mmoja
By the way, client anapenda mtu ambaye ni multskilled.
Make sure unajua skills zinazoendana na unachokifanya
Specifications is for insect
14. Tumia freelancing platforms
Kupata clients wapya ila hakikisha ukipata client unaishi naye
Kwa sasa tunashauri
Fiverr na Upwork
15. Ukipata client jitahidi upate mawasiliano yake nje ya freelancing platforms
Napendelea WhatsApp
Usisahau kuomba referral kwa rafiki zake
16. Kusanya testimonials, reviews, na kazi zako
Zitumie kufanya marketing ya skills zako
17. Jifunze projects management, Tools muhimu za kutumia.
Offcose unafanya kazi na mtu yupo US lazima ujue tools za muhimu
18. Tengeneza personal brand
Kitu pekee cha uhakika online ni kuwa na brand yako ikaaminika
Iwe social media
WhatsApp
Brand yourself
19. Utafute kazi online, Usisubiri zikutafute
Jitangaze, tuma proposal, tuma dm, tuma email.
There is always another client waiting for you
20. Trend ya soko ni kitu cha muhimu sana
Bei zako ziendane na soko
Ukiwa na kazi nyingi pandisha bei
Ukiwa na kazi chache shusha bei
21. Usikose passive income za pembeni
Wewe ni mtaalamu, umesoma skills kibao,
Kuna watu wengi wanatamani uwafundishe hicho unachokifanya
Uza eBook, uza course, findisha
Do this for funny
22. Usisahau kufanya marketing ya kazi zako
Sambaza sana portfolio
23. Clients retention
Sio rahisi kupata client mpya
Lakini huyu uliyenaye sasa hakikisha kesho anarudi
24. Jiunge na freelancing communities
Huwa kuna mambo mengi ya kujifunza kule
Hasa updates mpya na tricks za kupata clients
25. Kama nilivyosema
invest where you make money
Vifaa kama pc, simu, Internet, meza ya kazi, home office, website
Ni investments muhimu sana kwa freelancer
26. Discipline ya kazi ni muhimu sana
Ukipanga meeting na client kuwa on time
Ukipangiwa kazi ifanye kwa wakati
Kuwa freelancer au full time online kuna maisha inabidi uachane nayo
27. Amini unachokifanya
Kuwa consistency
Wanasema Success in Freelancing comes with time and dedication
More freelancing tips on WhatsApp
No one will tell you this
Zote ni muhimu sana, Ukuzingatia
Ni rahisi sana kupata maokoto yako
1. Chagua niche (industry) ambayo ina demand kubwa ya wataalam na ushindani wake ni mdogo sana
Mfano AI, Blockchain, renewable energy, real estate etc
2. Jitahidi mambo yote unayofanya yaonekane Google search engine, Social media, portfolio, website.
Hakikisha Mtu akiingia online ajue huduma flani naipata kwa mtu flani
3. Jenga network kubwa na freelancer wengine pamoja na clients.
Epuka kujitenga na wadau wengine
4. Portfolio ni muhimu kuliko CV,
Hakikisha portfolio yako imeshiba
5. Freelancing ni kama bishara, ukizingua kidogo unapoteza wateja wako, unafungiwa accounts, unakuwa suspended kila sehemu.
Take it serious
6. Hakikisha una Over-deliver
Ukipata kazi ifanye iwe bora zaidi
Hii inakusaidia clients wakunganganie
7. Nenda na trend, ongeza skills mpya kila siku, update uwezo wako, kubali kufundishika.
Freelancing sio kazi ya kudumu ukizubaa unaachwa na new trends
8. Customer service ni muhimu sana, ukimuhudumia vizuri client, atarudi tu
9. Tambua thamani yako,
Kuwa na bei zinazoeleweka, usiogope kutaja bei freelancing ni biashara ya kuuza muda na ujuzi wako
10. Jifunze kutengeneza offer (offer creation) itakayomfanya client aridhike kukulipa
Negotiation skills ni muhimu
11. Wazungu na muda ni kitu wanaheshimu sana sana
Kuwa muwazi kuhusu muda wako
Full time au part time
Kuwa online muda wote wa kazi
12. Invest where you make money
Invest kwenye kozi ili uive zaidi
Hata kama unajua sana, lipia kozi za watu wakubwa itakusaidia sana
13. Diversify
Usipende kujifunga kwenye ujuzi mmoja
By the way, client anapenda mtu ambaye ni multskilled.
Make sure unajua skills zinazoendana na unachokifanya
Specifications is for insect
14. Tumia freelancing platforms
Kupata clients wapya ila hakikisha ukipata client unaishi naye
Kwa sasa tunashauri
Fiverr na Upwork
15. Ukipata client jitahidi upate mawasiliano yake nje ya freelancing platforms
Napendelea WhatsApp
Usisahau kuomba referral kwa rafiki zake
16. Kusanya testimonials, reviews, na kazi zako
Zitumie kufanya marketing ya skills zako
17. Jifunze projects management, Tools muhimu za kutumia.
Offcose unafanya kazi na mtu yupo US lazima ujue tools za muhimu
18. Tengeneza personal brand
Kitu pekee cha uhakika online ni kuwa na brand yako ikaaminika
Iwe social media
Brand yourself
19. Utafute kazi online, Usisubiri zikutafute
Jitangaze, tuma proposal, tuma dm, tuma email.
There is always another client waiting for you
20. Trend ya soko ni kitu cha muhimu sana
Bei zako ziendane na soko
Ukiwa na kazi nyingi pandisha bei
Ukiwa na kazi chache shusha bei
21. Usikose passive income za pembeni
Wewe ni mtaalamu, umesoma skills kibao,
Kuna watu wengi wanatamani uwafundishe hicho unachokifanya
Uza eBook, uza course, findisha
Do this for funny
22. Usisahau kufanya marketing ya kazi zako
Sambaza sana portfolio
23. Clients retention
Sio rahisi kupata client mpya
Lakini huyu uliyenaye sasa hakikisha kesho anarudi
24. Jiunge na freelancing communities
Huwa kuna mambo mengi ya kujifunza kule
Hasa updates mpya na tricks za kupata clients
25. Kama nilivyosema
invest where you make money
Vifaa kama pc, simu, Internet, meza ya kazi, home office, website
Ni investments muhimu sana kwa freelancer
26. Discipline ya kazi ni muhimu sana
Ukipanga meeting na client kuwa on time
Ukipangiwa kazi ifanye kwa wakati
Kuwa freelancer au full time online kuna maisha inabidi uachane nayo
27. Amini unachokifanya
Kuwa consistency
Wanasema Success in Freelancing comes with time and dedication
More freelancing tips on WhatsApp
In WhatsApp teilen
WhatsApp Messenger: Über zwei Milliarden Menschen in über 180 Ländern benutzen WhatsApp, um jederzeit und überall mit Freund*innen und Familie in Kontakt zu bleiben. WhatsApp ist kostenlos, bietet einfachen, sicheren und zuverlässigen Nachrichtenaustausch und Telefonie und ist auf Telefonen rund...
wa.me
No one will tell you this