kiangsamson
Member
- Jan 9, 2014
- 9
- 3
Bw mdogo una akili sana, bigup.
uwiii! ningemrudisha kwa mama yake kwanza akafundishwe! Aisee, hadi unatamani umuamshe mtu utandike kitanda chako ndo utoke na yeye umfungie nje. kazi kweli kweli. tabia mbili zinakera kuishi na mwanaume, kutofunika choo na kutotandika kitanda.
nimejikuta nacheka mwenyewe manake bd kwangu hakueleweki.............
ni chumba, ama library, ama jikoni, ama stoo.
He he he, hatuwezi, maana mie sitaki kitu kiniguse nikilala, hata ka mchanga kananinyima usingizi.
Ila si kazi nayoipenda, imagine natakiwa nianze kutandikia watoto, niwawekee net, na kusubiria asinzie. Ukiondoka tu, kabla hajasinzia, unaona ka mtu kako nyuma yako(siku niko kwenye mood mbaya huwa nakuwa kama pilipili). Afu huku nako nije nitandike na kwangu, inanichosha kama nini.
Hahahaha, pole sana. You should make your bed when you wake up, immediately ukishuka kitandani (babangu alikuwa anasema kabla hujaenda ku-suusuu). Kutandika kitanda usiku inatia uvivu sana.
Kwa nini usiwafundishe watoto kuwa independent? waaminishe kuwa hakuna kinachowadhuru wala nini, hapo wanaweza kwenda kitandani wenyewe. assurance rahisi sana ni kusali kabla ya kulala.
Na kama wakina sisi tumepanga chumba kimoja inakuwaje.
hahaaaa nikiandika sana kuhusu yale mambo yetu nazodolewa, naambiwa napenda sana chini, kwahiyo akili yangu muda wote inawaza bumunda tu
my dear, hili ulolisema hapa linawagusa wengi sana hasa wanaume yaan nina rafiki yangu kila siku alalalmika juu ya hili kwamba hubby wake akisusu hadi akamflashie.........Ha ha ha ha ha, yaani umenichekesha kama mwehu.
Yaani unataka umwamshe mtoto wa mwenzio akalale kwenye kochi kisa utandike? Wewe kiboko.
Bora hata asiyefunika choo lakini ana flash aki-pee, kuna watu hadi uwaflashie ujue? Ndio utakapojibeba bila mbeleko.
iv bi dada umewah kuwaacha wanao na mtu baki af wewe ukasafiri??Hahahaha, pole sana. You should make your bed when you wake up, immediately ukishuka kitandani (babangu alikuwa anasema kabla hujaenda ku-suusuu). Kutandika kitanda usiku inatia uvivu sana.
Kwa nini usiwafundishe watoto kuwa independent? waaminishe kuwa hakuna kinachowadhuru wala nini, hapo wanaweza kwenda kitandani wenyewe. assurance rahisi sana ni kusali kabla ya kulala.
iv bi dada umewah kuwaacha wanao na mtu baki af wewe ukasafiri??
utajitahd kuweka kondishen zako imagine unamwekea na kila kitu kwa mpangilio kabisa na wewe unamwambia kila siku ufanye kama iv anakuitikia sawa mama.
wewe unasafiri wiki tu unamwomba mtu aje akae nao unakuta utaratibu wote kawabadilishia, making beds inakuwa tatizo, achilia mbali mazagazaga yao ya washroom, mswaki sijui umetupwa wapi, dawa yake ya mswaki mtu kaichukua sabuni mara sijui haion ukizubaa hata ya vyombo utakuta anaogea.....................
hahahaaaa RAM acha vituko, kutakuwa na kuku?
msaaada tasavali, title nimeweza Topic imeshindikana labda mods wanisaidie tafadhali
Kwanza nipende kuwapongeza mno na kuwasifia sana wale woote ambao huzifanya bedroom zao sehemu za kuvutia mno, ambapo hata mwenzi wako aingiapo pamoja na uchovu wote hupata mandhari tofauti na uchovu wote hupotea. hakika kuna watu ni wataalqm katika hili
Ni mpangilio tu utashi na uamuzi hakuna kinachoshindikanaDarasa lako ni zuri lakini kwa hali ya maisha ya nyumba za kupanga hafu mtu unafamilia haiwezi kufanikiwa labda kwa wale bachala ndo wanweza hizo na pia aishi nyumba yenye vyumba vikubwa.