Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Je huu ni utamaduni wa Kitanzania inajulikana wazi kuwa katika zoezi hili la beauty pageants (Miss ?) mambo yanayotazamwa ni mengi na ya aibu au haya yanawafurahisha vigogo wetu na viongozi wetu ambao ni miongoni mwa waumini wa Dini ambazo naamini kabisa hakuna hata moja inaloliona jambo hilo kuwa linafaa katika jamii na hasa jamii yetu ya KiTanzania kwani tunajijua tunapotoka.
Ingawa sina uhakika lakini nasikia huwa mwanamke anapekuliwa kila kona na zaidi awe hajaolewa ndio huweza kupata ushindi,au bunge limeridhia kitendo hiki eti kuijulisha Tanzania nchi za Nje ,Zanzibar wamepiga marufuku kufanyika. Tanzania wameruhusu Zanzibar marufuku
Ingawa sina uhakika lakini nasikia huwa mwanamke anapekuliwa kila kona na zaidi awe hajaolewa ndio huweza kupata ushindi,au bunge limeridhia kitendo hiki eti kuijulisha Tanzania nchi za Nje ,Zanzibar wamepiga marufuku kufanyika. Tanzania wameruhusu Zanzibar marufuku