Labda wana ji overate...kila mwanaume anayewatokea wanaona ni wa lower status kwao...wanasubiri wa status yao au ya juu zaidi yao...
Si unajua zile za 'yani niolewe na huyu...bora nizeekee home'...'na uzuri huu yani nimilikiwe na hiki ki Hamis...hell no...nasubiri mwanaume wa maana'....kibaya zaidi badala habanie papuchi anagawa hata kwa hao lower class...hapo ndio wanatengeneza CV mbaya...
sa kibaya wale ambao ni target yao nao wana taste zao za wife na wewe haumo kwenye vigezo vyao...
na kibaya ukute anashindwa kuwa 'expensive' anakuwa na multiple partners huku wote anawaona hawana vigezo, sasa hata yule wa quality yake hawezi kuji commit anakuwa amesha mpa label mbaya...sana sana na yeye atapiga afu ateleze...
Ni wanaume wachache wanaweza kujicomit kwa msichana ambaye ana list ya wanaume waliompitia kila alipopita...vyuoni, kazini, mtaani...na wazuri wengi (si wote) wana hii CV...
Mimi napenda sana kuangalia Bella Naija wedding...yani utadhani nataka kuoelwa mara ya pili...nasoma love story za watu...naona wanao propose na ma BMW X6 na wanaowaoa utashangaa ni wa kawaida si Kim K type...unajiuliza huyu mwanaume na miela hii si angeoa mwanamke yeyote tena mzuri kama malaika...lakini story wanazo share zinasaidia kujua what men are looking for wakitafuta mke wa kusihi nae, mama wa watoto wake...