Huu ni uduwanzi, mpeni mbunge her due credit. Amesoma tu barua? Mbona wewe na Mnyika hamkuileta Bungeni kama "mlishaisikia"? Alivyochemka kuhusu JF na kutabiri Lowassa kuwa Rais tulimmaliza humu mpaka sura yake ikasemwa ni ugly, lakini kwa mbunge wa CCM kulipua napalm kama hilo dhidi ya serikali ya CCM jimama anastahili commendation.Hamna lolote hapo...Hiyo habari ya Bahasha hata Mnyika alikuwa nayo kitamo ila yeye alipata barua tu na kusoma ambacho tulishasikia.
Huyu mama ajifunze kwa Dr W. Slaa, Dr Mwakyembe, Saed Kubenea, nk ambao walipata vitisho lakini hawakurudi nyuma!Pamoja na suala la bi huyu kufichua maovu makubwa ya wizara ya nishati na madini mbele ya jamii ambayo imepelekea kusimamishwa kwa katibu mkuu wake na shinikizo la kujiuzuru jwa waziri na naibu husika, je hili si kosa kwake yeye bi shelukindo kumiliki nyara za selikari kinyume talatibu zinavyntaka... Je sheria inasemaje kuhusu hili, au kwakua ni mmoja wa wanamtandao.!!! Vp kama moja wa member wa upinzani ndo amgekua na nyara hizo.!??
Huu ni uduwanzi, mpeni mbunge her due credit. Amesoma tu barua? Mbona wewe na Mnyika hamkuileta Bungeni kama "mlishaisikia"? Alivyochemka kuhusu JF na kutabiri Lowassa kuwa Rais tulimmaliza humu mpaka sura yake ikasemwa ni ugly, lakini kwa mbunge wa CCM kulipua napalm kama hilo dhidi ya serikali ya CCM jimama anastahili commendation.
lakini pamoja na uheshimiwa wake bado nimeona walakini kwenye uelewa wake. baada ya kupoke Msg na simu za vitisho "amesema amewasiliana na makampuni ya simu kutaka kujua wamiliki wa hizo no. lakini ameambulia patupu....source Tbc news 20:00". Nani alimdangaya kuwa kampuni za Simu zinawajibika kutoa taarifa za mteja wake kwa mtu yeyote!? kwa jinsi ninavyomfahanu na kwa network aliyonayo ingemuwia rahisi kutumi njia za off the book kujua wamiliki wa simu hizo. Sasa kwa kuwa yeye ndio kasema kapokea vitisho na kwa kuwa yeye ndio kasema amewasiliana na makampuni ya SIm basi nadhani anajua afanyalo. Lakini isijekuwa ni kujivalisha asiokuwa nao
Sina tatizo na huyu Mh. Shelukindo kama nae kwa dhati ameanza kupambana na uozo uliopo serikalini, lakini siamini kama ni wakati muafaka wa kumpa credit kwa kuwasilisha ile barua pale bungeni. Tupe nafasi ili tumjadili vizuri.
lakini pamoja na uheshimiwa wake bado nimeona walakini kwenye uelewa wake. baada ya kupoke Msg na simu za vitisho "amesema amewasiliana na makampuni ya simu kutaka kujua wamiliki wa hizo no. lakini ameambulia patupu....source Tbc news 20:00". Nani alimdangaya kuwa kampuni za Simu zinawajibika kutoa taarifa za mteja wake kwa mtu yeyote!? kwa jinsi ninavyomfahanu na kwa network aliyonayo ingemuwia rahisi kutumi njia za off the book kujua wamiliki wa simu hizo. Sasa kwa kuwa yeye ndio kasema kapokea vitisho na kwa kuwa yeye ndio kasema amewasiliana na makampuni ya SIm basi nadhani anajua afanyalo. Lakini isijekuwa ni kujivalisha asiokuwa nao
Nilitegemea angewasiliha malalamiko yake polisi ili ianzishe uchunguzi haraka ikiwepo kupata information za hao wampigiao simu
mkuu heading ilikua haisomeki hivyo mwanzo, nliandika ' beatrice shelukindo na barua ya wizara ' kubadilisha headings ni kazi za mods nadhani wameunganisha threads.. by the way post no. 3 inaelezea ni jinsi gani muheshimiwa kapokea vitisho hivyo alipokua akiojiwa na tbc.Heading ya topic haiendani na ulicho andika,kama tuta endelea kupost thread kitoto tuta poteza sifa na ladha ya Jf hivyo ni bora kama mtu hana chaku post bora kuwa msomaji na mchangiaji tu kuliko kuharubu dhana na sifa ya Jf ambayo imejijengea kwa mda mrefu,
Whistleblowing is allowed for national interest.
Mawazo yangu.
Ukitaka kazi ya Jeshi usiogope kwata..sasa wewe Mama shelukindo..umejitolea???...au na wewe unatumiwa na watu???make siku mbili tu ushaanza kulilalia???....kazana mpaka kieleweke....