Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

kaka najua nawakwaza ila inatia uchungu kila siku yale yale mtu unaambiwa angalia ndugu zako jamiiforums wameshaanza fujo zao ss ata mjadala upo wap hapa..fungua akili kaka haipendezi

Bora ujiondokee tu, jinsi unavyoandika unaonesha hata unachokisoma hukielewi.

Kama wewe ni kweli Mr. Gentleman hebu liishi jina lako, ondoka kimya kimya tu kama gentleman.
 
Licha ya hilo, nimemwekea Chintu nukuu ya Hirji kutoka kwenye "full version" yake mpya anakiri kuwa atabadili ukweli wa Mohamed Said kuwa nusu ukweli.

Jisomee juu hapo.

Halafu tukae kimya tu?

Hawa watu wananifurahisha haswa, si utani.

No wonder I am asked to write in Kiswahili.
And unfortunately Karim Hirji cannot write in conversion of such academic jargon into Kiswahili since there is no such Kiswahili vocabulary that can hold into academic thesis jargon.
 
Last edited by a moderator:
Utawakana hadi nduguze katika imani, mie niko pembeni nasubiri m~`break wind' hadi kande ziishe then nitarudi

Kukana na kujikana ndio mpango mzima.
Sometimes watakwambia wale BAKWATA sio waislam
Sometimes watakwambia ismailia sio waislam.
Ila wakitaka kuonesha kuwa waislam ni wengi, Bakwata na ismailia wanahesabiwa.
Wakitaka kuonesha ubaya wa Nyerere na kwamba aliua EAMWS (ambayo kimsingi ilikuwa ni ya wahindi wa ismailia), hapo watasema wa-ismailia ni waislam.
Kifupi ni kwamba unapofuatilia mijadala ya hawa ndugu zetu, inabidi uende nao taratibu na kwa umakini.
 
1] Dossa and Hamza Aziz were sons of Aziz Ali a building contractor and one of richest Africans in colonial Tanganyika.[2]For details on the killings see Hamza Mustafa Njozi, Mwembechai Killings and Political Future of Tanzania, Globalink Communications Ottawa, 2000. The book is banned by the government.



[3] Aziz Ali’s death appeared in the Tanganyika Standard newspaper with banner headline, ‘’the builder of mosques is dead’’ for most of the mosques in Dar es Salaam were built by him and supplied the mosques with lanterns for lighting during the days when Dar es Salaam did not have electricity. Aziz Ali maintained the lanterns providing kerosene to them throughout his life.



[4]See Iliffe, John, A Modern History of Tanganyika, Cambridge University Press, London, 1977, Duggan, W R and Civille, J,R Tanzania and Nyerere, Orbis Book, Maryknoll New York, 1976, Chiume, M W K, Vituko Vya Uhuru, Pan-African Publishing Company Ltd, Dar es Salaam 1973, Chuo Cha Kivukoni, Historia ya Chama Cha TANU 1954 – 1977, Dar es Salaam 1981.
[5] Iliffe (ed) ‘The Politicians Ali Ponda and Hassan Suleiman,’ in Modern Tanzanians, pp.227-253.



[6] See Daisy Sykes Buruku, ‘The Townsman: Kleist Sykes’, in Iliffe (ed) Modern Tanzanians,Nairobi, 1973, pp. 95-114.


[7] John Iliffe, ‘The Role of the African Association in the Formation and Realization of Territorial Consciousness in Tanzania’. Mimeo. University of East Africa Social Sciences Conference, 1968.



[8]The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 – 1968) the Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998.



[9] See Harith Ghassany, Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia, 2010.



[10]Moshe Finsilber played host to Moshe Dayan Israel Six Day war hero in 1967 when he visited Zanzibar in 1961 before the June Riots.



[11] Badawy Qullatein a Marxist and trade unionist was among those involved in the revolution. He died in 2011 in Makka during pilgrimage without writing his memoir. Those close to him admit that Qullatein had a lot of information on Zanzibar Revolution. Although he was a leading figure in the Umma Party he was close to members of the ASP - Seif Bakari, Hassan Nassor Moyo, Saleh Saadalla and Abdulaziz Twala. He was the person who immediately after the overthrow of the government sat down with John Okello to form the Revolutionary Council. His personal papers have not been made public and are in the custody of his family in Dar es Salaam. Later in life Badawy the firebrand leftist of the Zanzibar Revolution became a ‘’sufi’’ and spent the rest of his life between his house and Kitumbini and ShadhilyMosques in Dar es Salaaam. When Tanzania passed the Prevention of Terrorism Act of 2002 Badawy was among Muslims rounded up for interrogations by the FBI. Badawy politely told his interrogators that they have come to him very late they should have came ‘’yesterday.’’ He told them that he regrets dearly that he lost an important period of his lifetime in useless pursuit of politics. The FBI had no further questions and allowed him to go home.



[12] There is information that there is in existence in private hands a 10 page document depicting how Abdallah Kassim Hanga was murdered after being transferred from Ukonga Prison in Dar es Salaam to Zanzibar in 1968.



[13]The manuscript ‘’Tanzania: The Story of Julius Nyerere,’’ was personally presented to the author by proprietor of Drum magazine Jim Bailey in Dar es Salaam on 3[SUP]rd[/SUP] November 1994 for editing. Bailey was introduced to the author by Ally Sykes.



[14]Obituary by M. Said: ‘’The Weeping Whipping Pen of Mohamed Ali Nabwa (1936 – 2007’’ For more information on the changing political climate in Zanzibar see Marie-Aude Fouere, ‘’Reinterpreting revolutionary Zanzibar in the media today: The case of Dira newspaper,’’ in Journal of Eastern African Studies, 2012 pp. 1-18.



[15] Adam Shafi, ‘’Haini’’ Longhorn Publishers Kampala, 2003.



[16]The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 – 1968) the Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998. Also see Harith Ghassany, Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia, 2010.



[17] Yash Tandon, ‘In Defence of Democracy’ Inaugural Lecture Series No. 14, Dar es Salaam, 1979, pp. 47-48.



[19]See Iliffe A Modern History of Tanganyika, Cambridge University Press, London 1977 pg. 502 quoting letter by Sykes to Sablak 8 December 1952 Also Japhet Kirilo’s papers TNA.



[20]Tanganyika Standard, 19 th June 1953.



[21] This information is from Ahmed Rashad Ali broadcaster for Radio Free Africa in Cairo a radio station set up by Gamal Abdel Nasser of Egypt in 1950s as propaganda machinery for African countries fighting to liberate their countries from colonialism. In that position Ahmed Rashad came to know many freedom fighters including Jomo Kenyatta. For more information on Ahmed Rashad Ali see Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924 – 1968) Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika, Phoenix Publishers Nairobi 2002 pp 199 – 205. Ahmed Rashad Ali Many years later had an audience with President Kenyatta at the State House in Nairobi. Surprisingly Kenyatta remembered him as the person who accompanied Abdulwahid to that meeting in Nairobi in 1950. The President called his official photographer who took their photograph posing together. This photograph decorated the living room of Ahmed Rashad Ali for many years. President Kenyatta also presented him with a tie with the national colours of Kenya.



[22] This building still stands in its original form although it is not now a police station. A plaque on the building to honour the nationalists who spent time there will help in preserving that history.



[23] Julius Nyerere card no. 1; Ally Sykes card no 2, Abdulwahid Sykes card no 3; Dossa Aziz card No. 4; Denis Phombeah card No. 5; Dome Okochi Budohi card no. 6 John Rupia card No. 7; Bibi Titi Mohamed card No. 16; Idd Tosiri card No. 25.



[24]John M. J. Magotti, “Simba wa Vita Katika Historia ya Tanzania Rashidi Mfaume Kawawa,” Matai and Co. Ltd. 2007.



[25]The present author wrote an article cum book review on the book, ‘’A Tale of Two Books and the Book that Never Was.’’ All the newspapers refused to publish the article.


[26] Abdulwahid Sykes, Ally Sykes, Dossa Aziz and John Rupia were the financiers of the movement from 1950 to 1961 when independence was achieved.



[27]See Andrew Bomani in Raia Mwema of 19 October 2012 ‘’Hamza Mwapachu na Nyerere Kuelekea Uhuru wa Tanganyika.’’ Hamza Mwapachu and Abdulwahid Sykes are the ones who recruited Nyerere into colonial politics in 1952 when Nyerere came to Dar es Salaam to work as a teacher at St. Francis College, Pugu. Hamza Mwapachu has been honoured in Kenya. Through efforts by Ali Mwakwere after learning that Mwapachu was a fellow Digo and that he was the first Digo to attend Makerere College in 1943 Mwakwere had a street in Kwale District his own home area named after Hamza Kibwana Mwapachu.



[28] Idd Faiz Mafongo was among the first 20 members who attended the first TANU meeting in August 1954. He was the Al Jamiatul Islamiyyya and TANU treasurer at the same time. As TANU treasurer he was responsible for collecting funds for Nyerere’s first trip to UNO in 1955.



[29]Mshume Kiyate a rich fish monger at Kariakoo Market and a strong member of TANU Elders Council adopted Nyerere as his own son in 1955. Mshume Kiyate was among TANU financiers. In 1964 when the army mutinied and Nyerere came back to power after the army was disarmed by the British TANU held a mass demonstration in support of Nyerere in which Nyerere gave a speech. Mshume Kiyate was the elder politician who was nominated by the party to go up the stage with Nyerere to cloth him with a traditional Swahili attire known as ‘’kitambi’’ as show of love, support and respect to him. Mshume Kiyate died a poor man failing even to pay his medical bills. His contribution to TANU and support to Nyerere remain unrecognised. Efforts to name Tandamti Street which he lived during the struggle after him has been resisted by City Council authorities.



[30] Kasella Bantu was the one who took Nyerere to Abdulwahid Sykes’s house to introduce them in 1952.



[31] G. Mutahaba, Portrait of a Nationalist: The Life of Ali Migeyo, East African Publishing House, 1969.



[32]Yusuf Ngozi was responsible for founding TANU in Kilimanjaro in 1955 despite of efforts by the colonial government to sabotage the party. History will remember Yusuf Ngozi for organising the Chagga to register as voters in the hated Tripartite Vote of 1958 which was known as ‘’Kura Tatu’’ in which an African was required to vote for a European, Asian and African candidate. Yusuf Ngozi died a poor man in 1989.



[33]Bilali Rehani Waikela one of the TANU founder members in Western Province in 1955 and Regional Secretary of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) was detained by Nyerere in 1964 for “mixing religion and politics.” His personal papers were of great help in understanding the EAMWS crisis of 1968 and the reasons why Nyerere detained prominent sheikhs and banned the society in 1968. A documentary of his political life has been made and although not officially recognized as a patriot, Muslims now consider him as one of the heroes of the independence movement. For more information see Mohamed Said, “In Praise of Ancestors,” Africa Events (London) March/April 1988.



[34]Sheikh Rashid Sembe (1912 – 1999) was among the TANU inner circle in Tanga who with Julius Nyerere plotted to circumvent TANU majority membership who where against contesting the Tripartite Election of 1958. This interesting story has never been made public. Other members to the Tanga Strategy were Amos Kissenge, Mwalimu Kihere and Hamisi Kheri. At the Tabora Conference of 1958 Nyerere was able to convince TANU to participate in the election. The outcome of this was resignation of Zuberi Mtemvu from TANU and formation of African National Congress (ANC) to oppose TANU and soon after a faction detached itself from TANU to form All Muslim National Union of Tanganyika (AMNUT). Nyerere referred to this story publicly only once in his lifetime and it was in passing. For details see M. Said ibid. The Life and Times of Abdulwahid Sykes…pp. 233-252.



[35]Lameck Bogohe after many years of oblivion wrote an article (Nipashe7 Julai 2010) giving details of his contribution in the founding of TANU IN 1954.



[36]Titi Mohamed fell out with Nyerere soon after independence on issues concerning the role of Islam in free Tanganyika and was hounded out of TANU eventually charged in treason trial in 1970 with Oscar Kambona. She was given life sentence but was pardoned after serving few years in jail.



[37]Halima Selengia died in 2013 her contribution to the struggle for independence unrecognised.



[38]Issa Ziddy, Sheikh Hassan bin Ameir(1880-1979). Also See Mohamed Said, “Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968)” (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP]March 2004. Sheikh Hassan bin Amir is credited for mounting support of Muslims to Nyerere by steering the party towards a path of nationalist-secularist ideology. Sheikh Hassan bin Amir fell out with Nyerere from 1962 and in 1968 was deported to Zanzibar as a prohibited immigrant. Sheikh Hassan bin Amir was a member of TAA Political Subcommittee in 1950 the inner circle which founded TANU in 1954. Other members of the TAA Political Subcommittee were: Abdulwahid Sykes, Hamza Mwapachu, Dr. Vedasto Kyaruzi, Steven Mhando, John Rupia and Said Chaurembo.



[39]On 27 th April, 1985, Julius Nyerere, before stepping down from power conferred a total of 3,979 medals to Tanzanians who had contributed to the development of the nation. None of those who took part in the struggle for independence was in that list.



[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD][40] Kaggia, Bildad, Roots of Freedom 1921-1963: The Biography of Bildad Kaggia, East African Publishing House
1975.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[41] At various times between 1945 and 1950 the African Association then known as Tanganyika African Association was led by the best brains in Tanganyika among them was the five doctors: Dr. Luciano Tsere, Dr. Joseph Mutahangarwa, Dr. Michael Lugazia, Dr W.E.B. Mwanjisi and Dr. Vedasto Kyaruzi. Others were Ali Juma Ponda, Hassan Suleiman, Ali Migeyo, Abdulwahid Sykes and Hamza Mwapachu to name a few.



[42] ‘An UnsungHero?’ Africa Events,London, November 1986 p.48.



[43] The editor of Africa Events was Mohamed Malamali Adam. Other contributors were Ahmed Saleh Yahya Ahmed Rajab and Abdulrahman Mohamed Babu.Africa Events magazine was considered a hostile paper to the government. In retaliation the government refused to approve transfer of its funds back to its main office in London. The government made a deal with the magazine that it would be allowed to circulate in Tanzania without molestation and will be allowed to repatriate its funds back to United Kingdom if it fulfils certain conditions. Africa Events obliged.



[44]Ivor Bayldon was the founder president of United Tanganyika Party (UTP), formed by Europeans in 1955 to oppose TANU. The Vice-President was Sheikh Hussein Juma, a prominent Manyema in Dar es Salaam.



[45] V.M. Nazerali to Ally Sykes 12 th October, 1953 Sykes’ papers.


[46] In 1950s Abdulwahid’s office at Kariakoo Market where he was working as Market Master and Mwapachu’s office at Ilala Welfare Centre where he was working as Assistant Welfare Officer were the two centres of the robust African politics in Dar es Salaam.



[47] See Tanganyika Standard 19[SUP]th[/SUP]June 1953 TAA executive committee: Julius Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias and Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer and Ally K. Sykes as Assistant Treasurer. Committee members were Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo and Patrick Aoko.



[48] See ‘’Historia ya TANU 1954 – 1977,’’ Kivukoni Ideological College, Dar es Salaam 1981. In celebrating 50 years of independence in 2011 Abdulwahid and Ally Sykes the two brothers were honoured by President Kikwete as patriots who founded TANU and contributed in the struggle for independence.



[49] Sunday News,20 th October, 1968.



[50] Chief David Kidaha Makwaia The Herald (Scotland) 12 May 2007.



[51]Hamza Mwapachu was at that time contributing articles to Fabian Society paper ‘’The Sentinel.’’



[52] For more information see ‘’Nationalism Breaking the Imperialist Chain at its Weakest Link,’’ in Tanzania Zamani Journal of the Historical Association of Tanzania Vol. III No. 2 1997, also see Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952, Sykes Papers.



[53] Artists in East Africa were recorded by Gallotone Records in South Africa and Jambo Records and Mzuri in Kenya.



[54] See Obituary by M. Said ‘’Singer Who Angered the Colonialists’’ ‘’The East African’’ in All Africa 7[SUP]th[/SUP]January 2008.



[55]The second song to be banned in Tanzania was a song by Sal Davis (Salim Abdallah) in which in praising the first government in Zanzibar the name of Prime Minister Mohamed Shamte was mentioned. After the overthrow of Shamte’s government in 1964 the song was banned.



[56]During the struggle Rashid Sisso came to be very close to Nyerere and Nyerere gave him the nickname ‘’Officer.’’



[57]Ramadhani Mashado Plantan came to Tanganyika from Mozambique as a child in 1905 he was among the children of Affande Plantan who came to Tanganyika with Sykes Mbuwane (father of Kleist Sykes) in 1894 as a leader of the Zulu mercenaries recruited by Hermine Von Wissman to help Germans in their war against Bushiri bin Harith in Pangani and Chief Mkwawa who were resisting Germany colonialism. The children of these Zulu mercenaries came to dominate local politics in Dar es Salaam. Schneider Abdillah Plantan was a powerful member of TANU and was secretary of Daawat Islamiyya (Muslim Call) under Sheikh Hassan bin Amir. His elder brother Mwalimu Thomas Plantan was president of the TAA who was overthrown by force by Abdulwahid Sykes and Hamza Mwapachu in 1950 paving way for radical changes in the association. Sheikh Hassan bin Amir was deported to Zanzibar following the crisis of the EAMWS in 1968 and Schneider Abdillah Plantan was detained.



[58] Catholics form 76% of all members of Parliament the remaining 24% seats are divided between Christians of other dominations and Muslims. Muslims control a mere 6% of the seats. Most areas which are under developed in Tanzania mainland are areas with Muslim majority like Kigoma, Tabora, Kilwa, Mtwara, Lindi etc. These areas are now re-examining themselves and are gradually turning into local factions of radical Muslim politics reminiscence of the era of nationalist politics of the 1950s. This could be a source of civil unrest in the very near future. Signs of this have begun to show in the recurrent violent conflicts between Muslims and the government. Tanzania has experienced the Buzuruga Muslim-Sungusungu Conflict (1983), Pork Riots (1993) and Mwembechai Upheaval (1998). For more information See Hamza Mustafa Njozi, Mwembechai Killings and Political Future of Tanzania, Globalink Communications Ottawa, 2000. (The book is banned by the government).



[59] The late Prof. Haroub Othman after reading Sheikh Ali Muhsin’s book Conflict and Harmony in Zanzibar 1997, and The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 -1968 The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press, London 1998 and having come across hitherto unknown information on Nyerere was devastated because he was a great admirer of Nyerere as a patriot and a nationalist. The two books had painted him differently. Prof. Haroub confronted Nyerere and told him that the allegations in those two works have tarnished his image and he advised him to respond to them. Nyerere never did. Christian lecturers at Dar es Salaam University are discouraging students from making references to those two books. Dr. Harith Ghassany’s book Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru, has also come up with more information on Zanzibar Revolution hitherto unknown in Tanzania.



[60] In all historical references to Maji Maji War hero and Chief of Wangoni Ali Songea Mbano, his Muslim name “Ali” would be omitted and he would be referred to as Songea Mbano. Muslim names of Maji Maji fighters have been changed and Christian names inserted instead. The Maji Maji Museum at Mahenge in Songea has been desecrated removing all Muslim symbols in the exhibits completely wiping up a whole history of a people in a particular time setting of resistance to domination by a foreign power.



[61] Bilali Rehani Waikela one of the TANU founder members in Western Province in 1955 and Regional Secretary of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) was detained by Nyerere in 1964 for “mixing religion and politics.” His personal papers were of great help in understanding the EAMWS crisis of 1968 and the reasons why Nyerere detained prominent sheikhs banned the society in 1968.



[62] Maji Maji Museum in Songea which has been greatly desecrated removing all signs of Muslim symbols during the Maji Maji War with Germans. The Maji Maji Museum at Peramiho under the Catholic Church has closed its doors to young Muslims for fear of criticism for distorting history. All Muslim symbols in Maji Maji War against Germans have been obliterated in the Maji Maji Museum.


[63] A children’s book authored by the current writer, Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2007 has been blacklisted and cannot be included as a reader in schools because it contravenes the official history.


20131201_100944.jpg

Dome Okochi Budohi a Luhya from Kenya was in Dar es Salaam during the struggle for independence in 1950s he is the holder of TANU card no. 6 issued to him by Ally Sykes.

Source: Seminar: TANZANIA - A COUNTRY WITHOUT HEROES - Mohamed Said
Mzee Mohamed Said,unatisha daa!!!


Nakala kwa Prof Hirji.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu crabat Bora umeweka wazi manake nilipoona tu maandishi ya huyo Sunche nikaanza kuskia Harufu ya Cheuro.

Hawa jamaa ni Nuksi sana sababu Makafiri wanadhani hawa na Waislamu Ni kitu kimoja. Kumbe hawa ni makafiri km wao.

Tofauti ni kuwa Hawa Wanaabudu Muhindi mwenzao na wale wanaabudu Mzungu mwenye Nywele ndefu.
Na hawa ktk majumba yao ya Ibada Wanakula Ladu na Jelebi na wale wanakulq Mkate wa Azam Na Dodoma Wine.
Khalas!
Bill Cosby, asante sana kwa ufafanuzi huu, Ismailia si Waislaam, ni makafiri. Laiti mwalimu wenu Mohamed Said angejua hili....

Punjab Singh
, I am forced to address you in English for it appears, because you dont know Kiswahili, you have no idea who or what you represent in this debate...just take note; the chickens are on their way home to roost and that's one reason why you may end up with an egg on your face for you can only reap what you sew. Please ponder this;
A miserable Farmer is yielding poor crops due to a plague of crows. Nothing he does will rid the birds, until his wife creates a scarecrow that keeps them all at bay. From then on the crops the farmer grows are wonderful. However, he chooses not to share his new found wealth with his wife. One stormy night the wife decides to shelter the scarecrow from the rain by dressing it in the farmer's coat. Furious by this, the farmer attacks his defenseless wife. Then things take an unexpected turn... Reap What You Sew delivers important messages about love, life, art, fear, loathing and scarecrows.
Please note: Reaping what one sew is very different from reaping what one sowed!
 
Last edited by a moderator:
Hata ulichokiandika sijakuelewa, kweli kabisa, hebu rudia kuandika ueleweke, au jamani waliomuelewa huyu kijana wanifahamishe. Honest.
kwa taarifa yako mimi siyo Kijana nimezaliwa 58 na wakati wa miaka ya 1964 Nina ufahamu tosha, kumbukumbu za huyu Mzee na baskeli yake na tenga la samaki na Maneno ya watu kwa Muda mrefu kuwa huyu ni Rafiki mkuu wa waziri mkuu kama na kumbuka viZuri cheo cha nyerere wakati huo
 
kaka najua nawakwaza ila inatia uchungu kila siku yale yale mtu unaambiwa angalia ndugu zako jamiiforums wameshaanza fujo zao ss ata mjadala upo wap hapa..fungua akili kaka haipendezi
mr gentleman ,

Maamkuzi yanayokustahiki yakufike !

Mekufuatilia kutafuta vijipengele vyako japo kiduchu vya huo ujivikao ati Uislaam ...!?

Hakika sijapata japo hisia zako bali kama mekitwa na ile tabia ya abdallaah Bin Saluul kama kweli weye ni Muislaamu !

Na khalafu, hao/ wanafiki walokutumiliza ati uje tia masahihisho kwa nduu zako Waislaamu, wao na weye naona hakika pia ule udhabidhabina wakukhusuni au !?

Hebu kanitafutie AYA hizi 9: 107-109 kisha tuletee tafsiri yake !?


Ukamaliza hapo rejea nyuma 9: 44 - 47, nadhani utakuwa mefanza lilo lama mno katika barza hini !

Waate wenye hikma/ busara waendelee na kitahanani nasi tuwalipe ihsaani kama waungwana !

Nipo kipembeni hapa nafundika.
 
Last edited by a moderator:
Waislam wenzangu nawaomba twende nao taratibu hawa ndugu zetu bila lugha za maudhi, tutafika tu.

Mbona mada ni nzuri sana na kila hoja tunayoipanguwa wanakuwa hawana majibu. Mmeona hoja moja ndogo jana ilivyowachachafya mpaka wamebadili post nzima, mpaka "Professor" kaingiwa na kiwewe, kila anavyoomba msamaha anaona bado, post zake zote tatu za mwanzo (sijuwi kama kuna nyingine) ameomba na kila anavyoomba anaona hajaeleweka.

Hizo ndiyo nguvu za ukweli.

Naomba twendeni kwa maudhui iliyokuwepo hawa wenzetu wanaleta kejeli na tashtiti ili kututoa kwenye hii mada wanajuwa hii ni maji ya shingo kwao.

Nawaomba tulieni, mwacheni mwenye kutukana na atukane sisi tubaki kwenye hoja tu.

Sasa kuna nyingine ambayo niliigusia gusia jana wakajifanya hawaioni, leo kuna mmoja anaitwa Chintu kachokoza, nimempa heshima yake kwa kumpa darsa dogo kwa aliyoleta kama "reality" ya Hirji, Subhanna-Allah, kumbe aliyodhani ndiyo reality ya Hirji hakujuwa kuwa anaumeza mwiba usiomezeka, sasa umemkaa kooni, anajuta kwa nini.

Tumsubiri avute pumzi labda atapata ahueni.

Nawaomba kaka zangu, wadogo zangu, wakubwa zangu, wanangu, tutulie na tusiwe kama wao.

Pole Chintu.
 
kaka najua nawakwaza ila inatia uchungu kila siku yale yale mtu unaambiwa angalia ndugu zako jamiiforums wameshaanza fujo zao ss ata mjadala upo wap hapa..fungua akili kaka haipendezi[/QUOTE

mr gentleman hao ni Warabu wa Pemba hvyo wanajuana kwa Vilemba vyao.., na ndo mana unaona wanarushiana maneno na bado wanajadiliana, kosa lako ww ni kutoka nje ya Maudhui kwa kukashifu Dini za watu.., ndo mana sie wengne tusokua na lakuchangia tupo pembeni tunachuja Pumba na Mchele.., hivyo nakusihi nawe tukae Pembeni laa uwe na lakuchangia ndani ya Mada!!!

And how about this:
 
quote_icon.png
By FaizaFoxy

Hata haya huoni wala vibaya hujuwi> swali lako lipi nilikimbie mimi? hivi wewe una swali haswa la kukimbiwa? tena na mimi? unapenda kujishauwa.

Maswali yangu mpaka sasa hayajajibiwa si na "Professor" wala tarishi wake wala nyinyi vibaraka wake mliodhani kawapa uhai mpya kumbe kazidi kuwasononesha kama alivyosononeka yeye mwenyewe.

Mada nzima nzima imebadilishwa post
#1 kimya kimya, hujaliona hilo?

Hujaona "Professor" wako post zake zote tatu za mwanzo JF anaomba msamaha kwa "makosa ya kitoto".

kwi kwi kwi teh teh teh.

Unanchekesha.

Sasa unaniwekea maandishi ya huyu mjane mimi ntayapeleka wapi?, Mzee MS huna hoja, ila kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kwamba una hadithi nyingi sana kichwani, lakini unapokuwa challenged kidogo tu huna uwezo wa ku-argue, kitu ambacho hata mimi niliyesoma ngumbalo naliona bila miwani ya 3D,

Ukipata muda mjibu Profesa, ukishindwa basi waachie kina Ritz waendelee kutukana.

NB: Page za mwanzoni kabisa za paper yako ulioipresent Nairobi, inaakisi hizo hadithi unazosimuliwa Gerezani wakati wa gahawa, Kama ni hivyo basi, ni vizuri ukaiweka kwenye dustbin, maana kina mama hawatakubali kufungia vitumbua.
 
Last edited by a moderator:
Waislamu tumekuwa watu wa vurugu kila pande, inahuzunisha sana. Tuna matatizo mengi badala ya kuyatatua tunaishia kuwa watu wa rabsha. Hii inafanya mpaka watu kuficha imani zao au kujifanya wapo kwa bahati mbaya.


Weye takuwa ni Muishi Lamu na si Muislaamu !

Hakuna dhambi mbaya kama Unaafiq, kwanza ufahamu kuwa Uislaam hauna haja na weye, bali weye ndo una haja na Uislaam !

Hakika mekupendelea mno, na tokamana na yayo, nakugeiya cheo cha MKIZI !

Nipo kipembeni hapa nakusubiri.
 
quote_icon.png
By FaizaFoxy

Hata haya huoni wala vibaya hujuwi> swali lako lipi nilikimbie mimi? hivi wewe una swali haswa la kukimbiwa? tena na mimi? unapenda kujishauwa.

Maswali yangu mpaka sasa hayajajibiwa si na "Professor" wala tarishi wake wala nyinyi vibaraka wake mliodhani kawapa uhai mpya kumbe kazidi kuwasononesha kama alivyosononeka yeye mwenyewe.

Mada nzima nzima imebadilishwa post
#1 kimya kimya, hujaliona hilo?

Hujaona "Professor" wako post zake zote tatu za mwanzo JF anaomba msamaha kwa "makosa ya kitoto".

kwi kwi kwi teh teh teh.

Unanchekesha.

Sasa unaniwekea maandishi ya huyu mjane mimi ntayapeleka wapi?, Mzee MS huna hoja, ila kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kwamba una hadithi nyingi sana kichwani, lakini unapokuwa challenged kidogo tu huna uwezo wa ku-argue, kitu ambacho hata mimi niliyesoma ngumbalo naliona bila miwani ya 3D,

Ukipata muda mjibu Profesa, ukishindwa basi waachie kina Ritz waendelee kutukana.

NB: Page za mwanzoni kabisa za paper yako ulioipresent Nairobi, inaakisi hizo hadithi unazosimuliwa Gerezani wakati wa gahawa, Kama ni hivyo basi, ni vizuri ukaiweka kwenye dustbin, maana kina mama hawatakubali kufungia vitumbua.
 
Last edited by a moderator:
Bwana Nguruvi3,
Kuna msemo "cant see the trees because of the forest."
Hapana haja ya kukaa hapa tukavutana kwa hili.

Ikiwa umesoma ukurasa wote wa 37 wa Sivalon na hukuona kama Kanisa
limesema maadui zake ni "Ukomunisti na Uislam," basi sitakulazimisha
uisome hiyo sentensi.

Labda tuwasikize wanabarza wengine watasemaje.
Mohamed Said, ulipoandika katika nyuzi moja kuwa EAMWS iliuawa kwa ushirikiano wa Nyerere na Kanisa, hilo ni tofauti na kauli kuwa ' adui wa kanisa ni 'ukomunist na Uislam''

Tena kauli ya EAMWS imeifanyia reference katika ukursa, lakini si kwa maana iliyopo katika ukurasa. Ni kwa maana uliyokusudia kusema, hivyo kwa mtu mwingine ni lazima aingie kichwani kwako kujua ulikusudia nini. Kitaaluma hilo halikubaliki. Ndio maana nimewaeleza vijana wako kuwa kuchukua neno moja la Prof Hirji na kulifanya maana nzima si sahihi kwasababu hata wewe unafanya hivyo na muhimu ni kuvumiliana, kusahihishana na kujua mantiki zaidi kuliko makosa ya herufi
 
kwa taarifa yako mimi siyo Kijana nimezaliwa 58 na wakati wa miaka ya 1964 Nina ufahamu tosha, kumbukumbu za huyu Mzee na baskeli yake na tenga la samaki na Maneno ya watu kwa Muda mrefu kuwa huyu ni Rafiki mkuu wa waziri mkuu kama na kumbuka viZuri cheo cha nyerere wakati huo

Basi kijana wa zamani, nisameh sana kwa kukufikria u kijana wa sasa, au kukuita kijana wa zamani nalo litakuwa ni kosa pia? nijirekebishe. Mimi nawe twarandana ki umri ila nimekuzidi kiduchu.

Sasa kama unamkumbuka tu kijuujuu kwanini usimsome jinsi alivyokuwa si rafiki tu wa "waziri mkuu" bali ni mmoja katika watu waliojitolea kwa hali na mali katika harakati za kujitafutia Uhuru kutoka katika historia iliyoandikwa na Al Alama Mohamed Said? Hivi huna hamu au hupendi kupata majibu ya "maneno ya watu' uliyokuwa ukiyasikia kwa "muda mrefu"?
 
Last edited by a moderator:
Table 2

Religious Distribution University of Dar es Salaam 1971/72-1973/74
Year Muslim % Non-Muslim % Total
1969/70 17 83 100
*1970/71 - - -
1971/72 13 87 100
1972/73 14 86 100
1973/74 13 87 100
*1974/75 - - -
1975/76 15 85 100
*1976/77 - - -
*1977/78 - - -
1978/79 14 86 100
**1979/80 14 86 100
**1980/81 11 89 100
**1981/82 16 84 100

* Official Statistics not available
Mohamed Said , hapa ulikusudia hizo ni hypothetical data au ulikusudia nini? Nieleweshe tafadhali

Halafu, non muslims kwanini wanakuwa eneo moja, je miongoni mwao hakuna data zinazoweza kuvuruga kabisa ushahidi wako? Nina maana kama no muslims wakiwa 90% pagans, 5% Atheist na 5% Christians , huoni kama utakuwa umepoteza miguu ya hoja yako! Na kama si hivyo, hebu tueleze non muslims ni akina nani na wapo katika % gani
 
Mohamed Said , hapa ulikusudia hizo ni hypothetical data au ulikusudia nini? Nieleweshe tafadhali

Halafu, non muslims kwanini wanakuwa eneo moja, je miongoni mwao hakuna data zinazoweza kuvuruga kabisa ushahidi wako? Nina maana kama no muslims wakiwa 90% pagans, 5% Arheist na 5% Christians , huoni kama utakuwa umepoteza miguu ya hoja yako! Na kama si hivyo, hebu tueleze non muslims ni akina nani na wapo katika % gani

Duh! Tanzania kuna madhehebu hata sijawahi kuyasikia duniani, ndiyo kwanza leo niyajuwe.

Hebu tupe source tukayasome kwa kina au source ni wewe mwenyewe?

Ahsante kwa elimu unayotuzidishia.
 
Mohamed Said, ulipoandika katika nyuzi moja kuwa EAMWS iliuawa kwa ushirikiano wa Nyerere na Kanisa, hilo ni tofauti na kauli kuwa ' adui wa kanisa ni 'ukomunist na Uislam''

Tena kauli ya EAMWS imeifanyia reference katika ukursa, lakini si kwa maana iliyopo katika ukurasa. Ni kwa maana uliyokusudia kusema, hivyo kwa mtu mwingine ni lazima aingie kichwani kwako kujua ulikusudia nini. Kitaaluma hilo halikubaliki. Ndio maana nimewaeleza vijana wako kuwa kuchukua neno moja la Prof Hirji na kulifanya maana nzima si sahihi kwasababu hata wewe unafanya hivyo na muhimu ni kuvumiliana, kusahihishana na kujua mantiki zaidi kuliko makosa ya herufi

Tuwekee basi chanzo tukajisomee. Au ndiyo katika makabrasha yako yaliyoliwa na panya?
 
Mohamed Said jamvi linasubiri ilm, njoo unyambulishe data.
Hakuna kujificha, niliwaambia vijana wako mzinga hautupiwi mawe kama mwembe ng'ongo.

Mohamed, jamvini linakusubiri
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom