Bado unakimbia darasa la mantiki (logic) analolitoa Profu kwa kutojibu hiyo mistari myekundu, je, si kweli kwamba:
The German colonial authorities utilized the existing Madrasa system to recruit low-level clerks. Conversion to Islam rose during that era, and brought a portion of the Muslim clergy closer to the rulers. Using the form of reasoning applied by Said to Christianity under the British rule, one can say that Islam was closely allied with colonialism in that era.
?
Kweli?
Si Kweli?
Toa jibu moja tafadhali, usitupige chenga ya mwili.
Naona hujayasoma majibu yangu, rudia:
FF,
Naweka hapa kutoka kitabu cha
Abdul Sykes athar za Maji Maji kwa ndugu zetu:
[TABLE="class: cms_table, width: 601"]
[TR]
[TD]''When the Maji Maji War began in 1905 to try to oust the Germans from Tanganyika, the predominantly Christian areas in the south refused to join the movement and actually fought alongside the German forces against the patriots. This was because the uprising had begun in Muslim dominated areas and had within it Muslim characteristics. Missionaries, being collaborators, were taken as legitimate targets by the Maji Maji fighters. As a result, African Christians saw Maji Maji War as an uprising against Christianity. The Maji Maji movement was defeated by the Germans who committed atrocities against the people and their leaders. This left a big scar in the minds of Muslims in the south and the people in general, and hence the apolitical behaviour of the Christians in the south.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Following this, Africans in the south under the control of the British and missionaries were greatly subdued. After being defeated in the war by superior European weapons, the Church now saw in the misery of the people opportunity to exert its power in the area by providing schools and hospitals. The Church and the British were therefore seen as kind and considerate masters as opposed to the brutal German government.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The nationalist movement as it was with the Maji Maji War began in predominantly Muslim areas following the same established pattern of colonial resistance. Christians in the Southern Province looked upon TANU as it did on the Maji Maji uprisings: as another Muslim movement which had come again to disrupt peace and stability in the south. This time, it was said, Muslims were preparing to wage war against the British.''[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Wanajamvi,
Historia hii inawapa shida sana wanahistoria wetu kuikubali.
Hakika kwa kiasi fulani inafedhehesha.
Suleiman Mamba mmoja wa majemadari wa Vita
Vya Maji Maji. Alinyongwa na Wajerumani.
Na kama hayo hayajakutosha kuna hiki kipande kidogo kililetwa na mwenzako mmoja, kabda kitakusaidia kuelewa unachoongea kuhusu "logic":
Mkuu
Mohamed Said
Nakubaliana nawe ktk logic juu ya nani hasa walikerwa na ukoloni na walitoa msukumo Wa kuwaondoa....
Naturally makoloni mengi ya wazungu walitekeleza makubaliano ya Berlin kulinda ukristo ktk colonies zao...
In a logical manner isingekua rahisi anayelindwa ama kubebwa akapambana na anayempa ulinzi au anayembeba....
Huyo ni
lusungo
Chanzo:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-on-both-sides-post11986724.html#post11986724