Beatification of Lowassa starts here

Beatification of Lowassa starts here

Unakumbuka mkuu kilichotokea iringa kwetu kwa mama mbega? NaonA the same thing kinajirudia bt this time ni kwa nchi sio jimbo tena
nilishaonya tena kwa kutumia mfano wa kilichotokea Iringa. hakika hawataamini macho na masikio yao. something very surprisingly is going to happen soon
 
TB Joshua ana tofauti gani na wachumia tumbo wengine kiasi tumuamini? Unless asiye jitambua ndio huwafuata watu kama hawa
 
hamna kitu kama hicho mana wanaoamua kuwa rais awe fulan ni wapiga kura utabiri mda fulani hauna ukweli binafsi sijawahi kuona hicho kitu kwamba fulan kwa sababu katabiri itakuwa hivyo hiyo ni bahati nasibu watu wanatafuta umaarufu kupitia njia tofautitofauti
 
Jamani tuliwai kujadili humu kuhusu mtumishi wa mungu wa kimataifa kutoka nchini Nigeria maarufu kama TB joshua.. kumtabilia Edward Lowassa kuwa rais wa tanzania mwaka huu,vipi bado miujiza inaweza kutokea?

Ushahidi...

Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.

Inawezekana tu kwa sababu rais wa Tz sio lazima atoke CCM. Sijui kama nimeeleweka!!
 
time kama hizi Mungu anamalizia makao ya watakatifu wake... wap na wap awe na time na tawala za dunia zilizojaa kafara za watu mpaka aseme na manabii kuwa rais ni huyu au yule...

huyu gwajima kwa maneno yake ya kanga unajua kabisa jamaa ni "mishen taun"... hakuna uwepo wa hata malaika kinywan mwake
 
Duh, nadhani wote walioenda kwa huyo jamaa wamepigwa chini!
 
nilishaonya tena kwa kutumia mfano wa kilichotokea Iringa. hakika hawataamini macho na masikio yao. something very surprisingly is going to happen soon

Hata hivyo Octoba mbona mbali sana terehe 26/09/2015 Kuna ishu moja hivi itajitokeza kwa dunia nzima.
 
kama ccm hawaja mpitisha kuwa mgombea anawezaje kuwa rais?

Kwani chama kinachotoa wagombea urais ni CCM tu anaweza hamia chama kingine kumkata lowasa kwenye tano bora ni sawa na kumkata nyoka mkia wakati kichwa bado anacho
 
Anaweza kuwa bado.ungeanzisha thread baada ya majina kutoka NEC kwan ndo uhakika.piajiulizechama cha ACT kilianzishwa kwa sababu gani ?
 
ukisema tu rais ahitoshi mkuu mybe alimaanisha rais wa TFF, rais wa bodaboda, rais wa chama cha ngumi au rais wa fm accademia bt si rais wa Tanzania.
 
watu mkikosa mamabo ya kujadili mnaleta mada za kizushi, TB Joshua ajawi towa unabii/utabiri kwa Lowasa mpunguze uongo na uzushiiiiiiiii!!!!
 
Back
Top Bottom