Beatification of Lowassa starts here

Beatification of Lowassa starts here

Usimuhusishe Tbjoshua na upumbavu wenu, hajawahi kutoa unabii Kama huo, mambo yenu ya kutunga ndio maana nchi inakuwa na Watu waajabu na wasio na mwelekeo!!!

tibii Joshua sindoyule mchawi wanigeri anayejifnya nabii wamungu basin do kashitaKiwa hvi karibuni kwakutoa with kafara kanisani kwake.AaAh jaman!tuacheni kuwwvigeugeu alimtabiria bhana au mmesahau alipoenda kule yule mmasaifwekii
 
Kosa lako ni kusema kitu ambacho si kweli na hauna ushahidi wa ulicho kisema dhidi ya TB Joshua.

Unamjua alie muweka pale Nabii TB Joshu?



Mimi kosa langu nini?kuweka habari iliyokwishawekwa?mbona kipindi kile taarifa hizi zinevuma sikuwaona mkipinga iweje leo baada ya haya kutokea?
 
Kosa lako ni kusema kitu ambacho si kweli na hauna ushahidi wa ulicho kisema dhidi ya TB Joshua.

Unamjua alie muweka pale Nabii TB Joshu?

Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.
 
Mi kiukweli nashangaa watu wanavyomtetea uyo tb Joshua na kumfananisha na mungu kitu ambacho mnakosea Sana nafasi ya mungu msimpe binadamu jaman na hata kama alisema kweli basi mungu ameamua kuzihirisha kuwa tb Joshua siyo mungu anakosea pia
 
TB Joshua hajawahi kutabiri raisi wa Tanzania, hajawahi kusema chochote kuhusubTanzania huo ni uongo. Huyo Mbunge kama alisema hayo it was for her own iterest
 
Hakuna unabii unaotolewa kwa siri, na TB Joshua kila atoapo unabii, huutoa hadharani na dunia nzima husikia dhahiri.

Sikia mie nikueleweshe sasa, Nabii TB Joshua hakuwahi kutoa unabii wa kwamba mtu flani Tanzania atakua Rais, Pili TB Joshua hutoa unabii wake hadharani na sio ofisini.

Tatu unazijua siasa za Tanzania ni za kutafuta kick kwa watu ( wananchi ).. ama wewe ni mgeni wa Tanzania hii??



Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.
 
Jamani tuliwai kujadili humu kuhusu mtumishi wa mungu wa kimataifa kutoka nchini Nigeria maarufu kama TB joshua.. kumtabilia Edward Lowassa kuwa rais wa tanzania mwaka huu,vipi bado miujiza inaweza kutokea?

Ushahidi...

Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.

Mungu yupo sehem zote na yy amekamilika, si kitu kilichokamilika hakiitaji any usaidizi, so ww unaamini mungu anasaidiwa kazi zake na binadamu,

Acha ucngiz zinduka
 
Acheni ujinga wabongo kujadili upuuzi ambao hauwasaidiii kwa lolote bora ukafue hata nguo zako saiv au ukafanye mazoezi
 
Hakuna mtu ambae amemfananisha TB Joshua na Mungu, Mungu hafanani wala halingani na chochote kile mbinguni wala duniani. Mungu ni Mungu na Mungu ni mmoja tu awzae yote sio kama mwandamu. TB Joshua ni mtu wa Mungu tu, kama wewe ulivyo mtu wa Mungu ila neema yako na ya TB Joshua ni tofauti kama ilivyo kwa Moses ( Musa ) na Ibrahim ( Abraham ) wote walikua watu wa Mungu ila viwango vya neema zao hazikua sawa na hata walivyo mtumikia Mungu ni tofauti.

Mi kiukweli nashangaa watu wanavyomtetea uyo tb Joshua na kumfananisha na mungu kitu ambacho mnakosea Sana nafasi ya mungu msimpe binadamu jaman na hata kama alisema kweli basi mungu ameamua kuzihirisha kuwa tb Joshua siyo mungu anakosea pia
 
Jamani utabiri wa Mtumishi wa Mungu(hata kama hamtaki) T.B.Joshua zote huwa ziko wazi na recorded, ukizihitaji unazipata, sasa hiyo ya EL kutabiriwa uraisi 'live' mwenye nayo aweke humu! Ninachojua humu huyo mbunge mwanamke ndiye huwa anasimulia hilo, aweke clip yake basi! Lkn nikuambie kitu kingine, ili Mungu afanye muujiza wake kwako kuna masharti yake lazima uyakubali, uyaishi na kuyatenda pasi kupunguza hata kidogo. Mbili tatu kati ys hizo ni:1-Utakatifu,2-Kumtegemea yeye tu,3-Utauwa etc na mengine mengi. Huwezi(hata kama umetabiriwa) kupata kile ulichotamkiwa huku ukitegemea akili zako mwenyewe Mfano Jemedari Naaman,Mfalme Sauli, Sensa ya Mfalme Daudi na wengine wengi. Kwa hiyo, huyo EL mambo ya kutegemea akili, uwezo, mtandao,rupia etc kama amejihusisha lile tamko la baraka linakuwa kinyume chake! Mungu ni yeye yule Jana,Leo na Siku zote. Naongeza; Mungu hadhihakiwi.
 
Acheni ujinga wabongo kujadili upuuzi ambao hauwasaidiii kwa lolote bora ukafue hata nguo zako saiv au ukafanye mazoezi

kwanini wewe umepoteza mda wako humu?kuwa na adabu kuna wengi humu sio size yako..heshima ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom