Beatification of Lowassa starts here

Beatification of Lowassa starts here

Mie sikusikia live ila waliosikia na kushuhudia wanasema aliambiwa ''kuna kitu ukirekebisha utakua kiongozi mkubwa''
yeye jamaa kakozea tena anaingia urais kupitia ccm aaah!
 
Jamani tuliwai kujadili humu kuhusu mtumishi wa mungu wa kimataifa kutoka nchini Nigeria maarufu kama TB joshua.. kumtabilia Edward Lowassa kuwa rais wa tanzania mwaka huu,vipi bado miujiza inaweza kutokea?
hii ngoma bado mbichi sana.... isitoshe uchaguzi mkuu bado haujafanyika. just wait and see this is politics
 
Jamani tuliwai kujadili humu kuhusu mtumishi wa mungu wa kimataifa kutoka nchini Nigeria maarufu kama TB joshua.. kumtabilia Edward Lowassa kuwa rais wa tanzania mwaka huu,vipi bado miujiza inaweza kutokea?

mbona unaweweseka mkuu, tulia after all nenda katafutie familia yako mkate achana na haya mambo ndo maana unajiita Fukara
 
Last edited by a moderator:
mbona unaweweseka mkuu, tulia after all nenda katafutie familia yako mkate achana na haya mambo ndo maana unajiita Fukara

wewe hata ukitoka povu habari ndiyo umeushia hapo.
 
Last edited by a moderator:
Jamani tuliwai kujadili humu kuhusu mtumishi wa mungu wa kimataifa kutoka nchini Nigeria maarufu kama TB joshua.. kumtabilia Edward Lowassa kuwa rais wa tanzania mwaka huu,vipi bado miujiza inaweza kutokea?

Weka maneno yake hapa Alivyokuwa anasema hivyo?
 
Utabiri... sio lazima uwe wa kweli ama utimie..
utabiri maana yake ni kuyataja mambo yatakayotokea kanakwamba yamekwishatokea..sasa kama sio lazima yawe kweli ama yatimie huo sio utabiri tena..ni mawazo binafsi!
 
Tuberculosis Joshua ni tapeli tu, yaani mpiga hela..
 
utabiri maana yake ni kuyataja mambo yatakayotokea kanakwamba yamekwishatokea..sasa kama sio lazima yawe kweli ama yatimie huo sio utabiri tena..ni mawazo binafsi!

umenena mkuu kamata like hapo
 
hii ngoma bado mbichi sana.... isitoshe uchaguzi mkuu bado haujafanyika. just wait and see this is politics

Nendeni ACT mkawe mediocre vizuri sana!

Tatizo mnajitia nyie ndio real deal ever to run this country...sawa now go and run your toilets back home!!
 
Jamani tuliwai kujadili humu kuhusu mtumishi wa mungu wa kimataifa kutoka nchini Nigeria maarufu kama TB joshua.. kumtabilia Edward Lowassa kuwa rais wa tanzania mwaka huu,vipi bado miujiza inaweza kutokea?

alishindwa kutabiri madhila ya kanisa lake, yeye na Gwajima ni matapeli wa kufa mtu
 
Back
Top Bottom