Beatification of Lowassa starts here

Beatification of Lowassa starts here

Hapana sikwaziki kirahisi hivi ndugu yangu. Haya mambo ya kiimani ni vyema kumuachia Mungu mwenyewe aamue, unaweza sema mtu flani sio mtumishi wa Mungu, alafu kumbe akawa mtumisi wa Mungu, Je? hapo haujapingana na Mungu.

Tuwe makini na kauli zetu, na wala tusifanye mambo kwakua wengine wamefanya, kila mmoja ataondoka kivyake na hatma yake. Huyo mama achana nae, wewe fanya yako


sawa mkuu it seem nimekukwaza
 
Hapana sikwaziki kirahisi hivi ndugu yangu. Haya mambo ya kiimani ni vyema kumuachia Mungu mwenyewe aamue, unaweza sema mtu flani sio mtumishi wa Mungu, alafu kumbe akawa mtumisi wa Mungu, Je? hapo haujapingana na Mungu.

Tuwe makini na kauli zetu, na wala tusifanye mambo kwakua wengine wamefanya, kila mmoja ataondoka kivyake na hatma yake. Huyo mama achana nae, wewe fanya yako

Trust me even though nimeandika bandiko hili sija muhukumu kwa hili,nilichofanya nime nukuu tu na kushare na jukwaa
 
Sawa, ila ufahamu izo habari si za kweli ni uzushi na usiendeleze huo uzushi.
Tusi suport kitu amabacho si kweli bali tukikemee.

Trust me even though nimeandika bandiko hili sija muhukumu kwa hili,nilichofanya nime nukuu tu na kushare na jukwaa
 
hakuna ukweli wowote kuwa TB Joshua alimtabiria Lowasa kuwa raisi maana watu tunaangalia Live services kila juma pili na Lowasa mara zote akienda tunamwona na wote waliopokea Prophecy walipewa hadharani sasa hyo mnayosema ya Lowasa kutabiriwa ilitoka wap.... mbona haikufanyika hadharan......
My take: Sio kweli kuwa Lowasa alitabiriwa kuwa raisi na TB Joshua no matter how many times he went there huo ni uzushi tupu. Hata TB J. hakuwah kumuongelesha mtu aliwahi kumtolea mfano n Mwigulu na hakumwambia habr ya uraisi.
 
Sawa, ila ufahamu izo habari si za kweli ni uzushi na usiendeleze huo uzushi.
Tusi suport kitu amabacho si kweli bali tukikemee.

Mimi nafikiri muda huu ungetumia pia kumuombea ndugu Lowasaa mana pressure itakuwa juu sana
 
Sawa nitamuombea, ila na wewe pia usinisahau katika maombi yako, maana sie sote ni ndugu na chimbuko la mwandamu ni moja. Tusitupane

Mimi nafikiri muda huu ungetumia pia kumuombea ndugu Lowasaa mana pressure itakuwa juu sana
 
utabiri maana yake ni kuyataja mambo yatakayotokea kanakwamba yamekwishatokea..sasa kama sio lazima yawe kweli ama yatimie huo sio utabiri tena..ni mawazo binafsi!
Hii siyo maana ya utabiri,utabiri ni kubashiri just like gambling it can happen or not happen but not a must.In other words its a probability.Ama kweli mganga hajigangi yeye TB alishindwa kutabiri kanisa lake kubomoka na kuua watu lukuki kanisani lol...
 
Jamani tuliwai kujadili humu kuhusu mtumishi wa mungu wa kimataifa kutoka nchini Nigeria maarufu kama TB joshua.. kumtabilia Edward Lowassa kuwa rais wa tanzania mwaka huu,vipi bado miujiza inaweza kutokea?

Ushahidi...

Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.

Tb ni ugonjwa
 
Jamani tuliwai kujadili humu kuhusu mtumishi wa mungu wa kimataifa kutoka nchini Nigeria maarufu kama TB joshua.. kumtabilia Edward Lowassa kuwa rais wa tanzania mwaka huu,vipi bado miujiza inaweza kutokea?

Ushahidi...

Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.

Anapiga ramli
 
Kweli Lowassa kajifunganyia nguvu kubwa sana kumzunguka. Yani kila mtu anazungumzia sio waliopitishwa, bali ALIEKATWA!! Sasa siasa haina majibu kamili. Kwa nguvu aliyoikusanya, ningelikua ENL ningelitoa hotuba kukubali kushindwa na ningelisihi wafuasi wangu wote waunge mkono atakaeteuliwa.

Hiyo ndio namna bora zaidi ya kukinusuru chama kikongwe (GOP) cha Tanzania. Vinginevyo mpasuko mkuu wa GOP unanukia ukiambatana na harufu ya damu ndani yake. Kwa mpango huo huo wa siasa kutotabirika, basi GOP kwishney na ENL pia kwishney.

ENL ana hasara zaidi hapo. Aepuke hiyo 'tukose wote' situation!! Maslahi yake akiwa ndani ya GOP na kusapoti aliepitishwa yatamea zaidi. Tofauti na hapo, kila mtu anaeza tabiri kinachokuja kutokea mpaka kufikia Oktoba.

Kuna jambo jingine. GOP ilivyo, kwa sasa ENL hana la kufanya. Hadi wamejasirika kumkata, then ameshasetiwa kila aina ya mtego kutokufurukuta. Akamuulize 6 kilichomfanya aanzishe chama na akashindwa kujiunga nacho ingawa ananyanyasika alipo!!
 
Huyo Mtumishi alipewa "SADAKA" kidogo ndio maana akatabiri hivyo - unajua hawa watumishi wetu nao njaa huwa zinawasumbua pia.
 
Kweli Lowassa kajifunganyia nguvu kubwa sana kumzunguka. Yani kila mtu anazungumzia sio waliopitishwa, bali ALIEKATWA!! Sasa siasa haina majibu kamili. Kwa nguvu aliyoikusanya, ningelikua ENL ningelitoa hotuba kukubali kushindwa na ningelisihi wafuasi wangu wote waunge mkono atakaeteuliwa.

Hiyo ndio namna bora zaidi ya kukinusuru chama kikongwe (GOP) cha Tanzania. Vinginevyo mpasuko mkuu wa GOP unanukia ukiambatana na harufu ya damu ndani yake. Kwa mpango huo huo wa siasa kutotabirika, basi GOP kwishney na ENL pia kwishney.

ENL ana hasara zaidi hapo. Aepuke hiyo 'tukose wote' situation!! Maslahi yake akiwa ndani ya GOP na kusapoti aliepitishwa yatamea zaidi. Tofauti na hapo, kila mtu anaeza tabiri kinachokuja kutokea mpaka kufikia Oktoba.

Kuna jambo jingine. GOP ilivyo, kwa sasa ENL hana la kufanya. Hadi wamejasirika kumkata, then ameshasetiwa kila aina ya mtego kutokufurukuta. Akamuulize 6 kilichomfanya aanzishe chama na akashindwa kujiunga nacho ingawa ananyanyasika alipo!!

Kweli mkuu jamaa angehutubia taifa kukubali kushindwa..ndio demokrasia yenyewe hiyo pia kuhepusha mpasuko ndani ya chama
 
Huko ndio kunyimana uhuru wa habari pale hali inapokuwa mbaya upande fulani

No,uhuru unao.
wewe km Una uhakika na haya unayoyasema hapa tunaomba link au ushahidi wa kusupport mada yako!
Coz nabii zote huwa ni live!, na zipo hazifutwi!!
 
Ile misa yote niliiangalia live hakuna sehemu TB Joshua alitabiri kuwa lowassa atakuwa rais hakuna. Hakumpa profecy yoyote ile nashangaa huyo kibiriti ngoma wa tanga anabwabwaja tu na nyie mnaamini
 
Back
Top Bottom