KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 964
Lakini jamani uyu edo unaweza kumsikia yuko act na akashinda
Mie sikusikia live ila waliosikia na kushuhudia wanasema aliambiwa ''kuna kitu ukirekebisha utakua kiongozi mkubwa''
yeye jamaa kakozea tena anaingia urais kupitia ccm aaah!
Uongo mtupu, tupeni link wapi alipewa huo unabii?coz huwa tunaangalia live na hatukuona!
Acheni kumlisha maneno tbj
Weka hapa huo utabiri kama unahakika na maneno unayoyasema. Hawezi mtu kuweka ushahdi wa kitu ambacho hakikuwepo. Na kama unabisha, weka ushahidi kwamba mimi Tabby sijafika Sobibo!.
alishindwa kutabiri madhila ya kanisa lake, yeye na Gwajima ni matapeli wa kufa mtu
Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.Alitabiri lini kama sio habari za kutunga :?
hii ngoma bado mbichi sana.... isitoshe uchaguzi mkuu bado haujafanyika. just wait and see this is politics
mkuu mbona clip zilikuwa nyingi tu..hata jukwaa hili tulishawai kujadili
kwaiyo habari hii nimetunga?Uzushi mtupu, hakuna kitu kama hicho ( Nabii TB Joshua kutoa unabii kwa E. Lowasa kua rais ). Kama Nabii TB Joshua ingekua kweli katoa unabii kwa E. Lowasa kua atakua rais, ni lazima angekua rais, maana hakuna neno la unabii linalo anguka.
kama ukuwai kusikia au kuona ni wewe tu..ila kwenye jukwaa hili na magroup ya wasap izo clip zilikuwa nyingi na tulishawai kujadili humu
Alitabiri lini kama sio habari za kutunga :?
Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.Tb joshua siyo mtumishi wa Mungu,wote tunajua ni tapeli anayetumia nguvu za shetani
Rusha moja basi tuthibitishe utabiri wa uongo
Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.
Kama haujui kitu ni bora kukaa kimya, kuliko kuchafua watumishi wa Mungu ( wito wao hawakupewa na wanadamu ) na wakati wanapewa maelekezo na Mungu alie waita haukuwepo. Angalia sana kumchafua huyo ni sawa na kumchafu alie muweka hapo...
kwaiyo habari hii nimetunga?