menat
Senior Member
- May 5, 2013
- 154
- 36
Jamani tuliwai kujadili humu kuhusu mtumishi wa mungu wa kimataifa kutoka nchini Nigeria maarufu kama TB joshua.. kumtabilia Edward Lowassa kuwa rais wa tanzania mwaka huu,vipi bado miujiza inaweza kutokea?
Leta clip inayoonyesha huo utabiri siyo unaongea tu kutokana na maneno maneno ya watu tunataka uhakika wa utabiri huo