Cognitivist
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,057
- 2,099
Aaah! Lowasa kaza buti mwanangu in way iwe kwa Mungu au kw sangoma upresdent lazima upatikane.
Haya makanisa bwana! mtu akisali Tanzania hapati baraka, Mungu anasikia na kutoa baraka kwa wanaosali Nigeria, Irael ....tu? anyway ni haki ya kila mtu kuabudu tuheshimu katiba lakini inatia shaka.
Inawezekana si unaona anavyokula vichwa huku akifanya biashara ya Bajaj na kubadili shule alizoombea msaada kuwa ni za yatima na kuzigeuza za kutoza mamilioni ya fedha huku akiwatimua yatima na nyingine kuzigeuza vyuo vya ualimu na sasa anataka kiwe Chuo Kikuu pale Tabata. Hawa ndio Manabii wetu na uyoga wa makanisa yanaojiotea nchini na Nigeria.Kwa kina Rwakatale kuna baraka kweli?
Huko ni kutanga tanga kwa mfa maji. hapa bongo injili inatwangwa hadi mapepo yanatoka. Nigeria watu wanamakanisa yanayotumia nguvu za Giza unaenda tafuta nini? Msizikubali kila roho, zijaribuni na kuzipima, asema bwana wa majeshi.Mzee wa Kanisa Azania Front naona siku hizi hakauki kwa nabii wa Nigeria. Najiuliza sijui anawapa ujumbe gani maaskofu wetu hapa nchini?
Wakati muda huu Watanzania wenzetu wakipiga kura zao kumchagua Mbunge mpya jimbo la Igunga; Mhe. Edward Lowassa yuko ndani ya Synagogue Church of All Nations (SCOAN) Kwa TB Joshua, jijini Lagos Nigeria muda huu.
Source: Emmanuel TV, Sunday Live Service.
Na mesasge ya TB Joshua leo ni "Overcome your Doubt"
Hii ndio faida ya kuwa mtu maarufu. Ungekuwa wewe ndio uko Ngeria nani angehangaika kukuanzishia thread kwanza tusingejua kwamba wewe ni mbongo au Mnigeria coz hakuna mtu anayekufahamu. Lakini EL anameuza sura kidogo tu kwenye chupa watu wakang'amua yuko kwa fake prophet Lagos.Hivi kama akihudhuria ibada inayoongozwa na Askofu Thomas Laizer hawezi kupata hicho anachokifuata kwa TB Joshua?
Btw, hivi msipomtaja fisadi lowasa hapa JF huwa mnapungukiwa nini? Manake kila uchao ni lowasa lowasa, kha!
Hii ndio faida ya kuwa mtu maarufu. Ungekuwa wewe ndio uko Ngeria nani angehangaika kukuanzishia thread kwanza tusingejua kwamba wewe ni mbongo au Mnigeria coz hakuna mtu anayekufahamu. Lakini EL anameuza sura kidogo tu kwenye chupa watu wakang'amua yuko kwa fake prophet Lagos.
ana mahangaiko huyu mmasai.. Kwa waganga yumo, kwa Yesu yumo, sijui tumueleweje? Popoooooooooooooooo........
jamani naomba tusimuhukumu kwa kuwepo huko hiyo ni haki yake kumtafuta Mungu pale unapoamini.
Kumbe......sikujua hii!Lowassa sio mmsai mkuu. Nchi hii imekuwa na wamaasai mawaziri wawili tu tangu uhuru, Sokoine na Ole Nangoro, mbunge wa kiteto. Lowassa ni mmeru/muarusha tu huyu ila amekulia umasaini
Ni kweli mkuu fisadi lowasa ni celebrity bongo kwahiyo kutajwa tajwa ni jambo la kaiwada sana.
Tatizo langu hapa naona kama kuna watu wanakula posho kwa fisadi lowasa kila wanapoanzisha thread za kumhusu,kuna vitu vingine wala havihitaji public attention kiasi cha kuvipost hapa JF.
Wakati muda huu Watanzania wenzetu wakipiga kura zao kumchagua Mbunge mpya jimbo la Igunga; Mhe. Edward Lowassa yuko ndani ya Synagogue Church of All Nations (SCOAN) Kwa TB Joshua, jijini Lagos Nigeria muda huu.
Source: Emmanuel TV, Sunday Live Service.
Na mesasge ya TB Joshua leo ni "Overcome your Doubt"
Kundini hawarudi hivyo wewe kuwa na akili hilo ni la kuvunda
Wakati muda huu Watanzania wenzetu wakipiga kura zao kumchagua Mbunge mpya jimbo la Igunga; Mhe. Edward Lowassa yuko ndani ya Synagogue Church of All Nations (SCOAN) Kwa TB Joshua, jijini Lagos Nigeria muda huu.
Source: Emmanuel TV, Sunday Live Service.
Na mesasge ya TB Joshua leo ni "Overcome your Doubt"