Beatification of Lowassa starts here

Beatification of Lowassa starts here

Kila raheli mkubwa,huwezi ishi bila kumtaja huyo mtu.ubarikiwe na fisadi lako.
 
Heri mwenzetu amejua makosa yake na hatimaye Kurudi kundini ,Maana imeandikwa wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza.
 
Kundini hawarudi hivyo wewe kuwa na akili hilo ni la kuvunda
 
Ndio wameleta zile fedha za laana kumkabidhi Kikwete sasa sijui majini ya Tanga na Lagos yapi kiboko
 
hahaaaaa lowassa bana ananifurahisha sana
 
jamani naomba tusimuhukumu kwa kuwepo huko hiyo ni haki yake kumtafuta Mungu pale unapoamini.
 
wakati muda huu watanzania wenzetu wakipiga kura zao kumchagua mbunge mpya jimbo la igunga; mhe. Edward lowassa yuko ndani ya synagogue church of all nations (scoan) kwa tb joshua, jijini lagos nigeria muda huu.

Source: Emmanuel tv, sunday live service.

na mesasge ya tb joshua leo ni "overcome your doubt"

watu ambao hamna kazi bwana mnashida sana hebu ni pm hata unambie professional yako nkutafutie shughuri
 
ili suhala tulichukulia kwa angle zote yaani 3D
huyo ni binadamu mwetu kuna yanayomsibu sio muda wote ni siasa jamaa
mpeni break, hata kama kesho anania ya kurudisha au kukiri alichotuibia kwa mtindo huu tuna mpiga ngwala
tuheshima maisha yake binafsi wandugu
 
Ninafuraha kwamba anapata muda wa kula neno la Mungu. Lakini pia ni vizuri kwamba anapata muda wa kutubu kupitia pale anapoamini..... Endelea bwana Lowasa, unafanya vema, lakini maanisha kumrudia Mungu katika kweli.
 
Haya makanisa bwana! mtu akisali Tanzania hapati baraka, Mungu anasikia na kutoa baraka kwa wanaosali Nigeria, Irael ....tu? anyway ni haki ya kila mtu kuabudu tuheshimu katiba lakini inatia shaka.
 
Mzee wa Kanisa Azania Front naona siku hizi hakauki kwa nabii wa Nigeria. Najiuliza sijui anawapa ujumbe gani maaskofu wetu hapa nchini?
 
Ndugu zanguni
kwanza nampongeza mh lowassa kwa kuendeelea kuwa na nafasi ya kumtumikia Mungu
leo hii lowassa amepata nafasi ya kuhojiana na Mungu na kutubu zambi zake je wewe
muda wakutubu utaupata hili ndilo swali la kukuuliza wewe ulie/naeangalia tb joshua
na kesho ukifa utakuwa wapi roho yako??
 
Bwana na apewe sifa! inapendeza binadaam anaporudi kwa yule anayemuamini.
 
Ndugu zanguni
kwanza nampongeza mh lowassa kwa kuendeelea kuwa na nafasi ya kumtumikia Mungu
leo hii lowassa amepata nafasi ya kuhojiana na Mungu na kutubu zambi zake je wewe
muda wakutubu utaupata hili ndilo swali la kukuuliza wewe ulie/naeangalia tb joshua
na kesho ukifa utakuwa wapi roho yako??
Hata Nabii Joshua hajui roho yake itawekwa wapi, wala za wanaoabudu kwake wala roho yako, ukikwapua kutubu hakutoshi, bora kurejesha.
 
uko nigeria atakuwa anakwenda kujizindika tu
 
Back
Top Bottom