Unajua Rejao hii BBM Pin ilikuwepo muda mrefu tu ingawa wengi walikuwa hawajui sasa huku Bongo kitu kikiishajulikana halafu wewe ukiwa hauna interest nacho inakuwa kama kero sasa..
Wabongo bwana, eti siku hizi kama mtindo wa kuomba namba ya simu umeisha flani hivi...kila mtu utakayekutana nae anakuomba BBM Pin, eheeeee msinifanyie hivyo jamani sio kila mtu ana Blackberry...