BBC : Wakenya wasambaza taarifa ya uongo kuhusu Raisi wa Tanzania

Kwisha habari ya wakenya. Fyeeka, fyeeka, fyekelea mbali.
 
Kwa siku kadha sasa, taarifa zimekuwa zikienea kwenye mitandao ya kijamii kwamba Rais wa Tanzania John Magufuli amewataka wanaume nchini Tanzania kuoa zaidi ya mke mmoja.
Taarifa hizo zinadai kwamba kiongozi huyo amependekeza hilo kama suluhu ya kupunguza ukahaba miongoni mwa wanawake wa Tanzania.
Je, kuna ukweli wowote kuhusu madai hayo? Taarifa hizi zilianza wapi na zinadai nini?
Taarifa ya sasa ambayo imekuwa ikisambazwa sana imeandikwa kwa lugha ya Kiswahili na kuchapishwa katika mtandao wa nipasheonline.com, mtandao ambao bila kuwa makini huenda ukadhani una uhusiano na gazeti la Nipashe la nchini Tanzania ambalo huchapishwa na ippmedia. Kampuni hiyo huchapisha pia gazeti la Jumapili kwa jina Nipashe Jumapili. Hata hivyo ippmedia haina uhusiano wowote na mtandao huo. Taarifa zake za Kiswahili hupakiwa katika tovuti yeye jina ippmedia.com/sw, mtandao ambao umekuwepo tangu mwaka 1998.
Hii Nipashe basi ni ya wapi?
Uchunguzi wetu umebaini kwamba tovuti hii imesajiliwa na mhudumu wa mtandao aliyepo jijini Nairobi. Mtandao huo ulisajiliwa mara ya kwanza Agosti mwaka 2017. Hivyo basi ni mtandao ambao umekuwepo kwa mwaka mmoja hivi.
CHANZO: BBC

Namimi nasema; Umbea, husuda na uongo ndio sifa za wakenya. Oooh Olduvai Gorge ipo Kenya, oooh Kilimanjaro ipo Kenya. Acheni upuuzi
Tunawasaidia
tapatalk_1538769663378.jpeg
 
Let me advice JPM and Tanzanians in General: A lion does not loose sleep over the bleeting of sheep.
Wakenya wengi wahampendi JPM, wangetaka rais mpuuzi kama kikwete ili waendelee kula shamba la bibi(Tz)
Mta lialia mtachoka, JPM had 2025 na akimaliza ampe waziri mpango ama waziri majaliwa wazalendo sampuli ya jiwe tuu
 
ok so 50 million kenyans relayed wrong information about the tanzanian presidento_O:rolleyes:...my friend, majority ya wakenya hata hawajui rais wa tz ni nani na hawana hata interest yoyote ya kumjua....As my friend has said, taja hao walioeneza habari usije ukawalaumu wakenya bure...
Eti majority ya Wakenya hawajui Rais wa Tz!! Wale jamaa walioanzisha #What_Would_Magufuli_Do na #Magulification kule Twitter walikuwa Wareno?! Au kwa vile mmeona ameanza kupuyanga mnajifanya hamumjui?! Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
 
ok so 50 million kenyans relayed wrong information about the tanzanian presidento_O:rolleyes:...my friend, majority ya wakenya hata hawajui rais wa tz ni nani na hawana hata interest yoyote ya kumjua....As my friend has said, taja hao walioeneza habari usije ukawalaumu wakenya bure...
Wakenya wengi hawajui Rais wa Tanzania?

Mbwalata...
 
Eti majority ya Wakenya hawajui Rais wa Tz!! Wale jamaa walioanzisha #What_Would_Magufuli_Do na #Magulification kule Twitter walikuwa Wareno?! Au kwa vile mmeona ameanza kupuyanga mnajifanya hamumjui?! Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
so wakenya wote walishiriki katika hizo hastag za what will sijui nani do? my friend, mi nakwambia ukweli mtupu ila sikulazimishi uniamini...anyway somo lilikuwa simple...do not generalise kenyans...kama kuna baadhi ya wakenya waliofanya makosa haya bas watajwe mara moja...mambo ya kutuambia sijui rais anajulikana wapi nobody even cares
 
Wakenya wengi hawajui Rais wa Tanzania?

Mbwalata...
yep...majority of kenyans dont know and dont care...sijui mbona huwa mnafikiri dunia inawazunguka nyie tu:D:D:Dmara mmeibiwa mlima...mara sijui mmeibiwa nini... duh! mngalijua ukweli wa mambo
 
ata ndio nami najiuliza...BBC huwa hawaandiki pumba kama haya...huyu alitaka tu uchokozi...mambo ya kutuambia tumewaibia mlima...duh! mlima mzima pia unaweza ukaibiwa?:rolleyes:
Kwani wewe huelewi anachosema wewe. Tuliuchukua mkoba tukaenda mlima.Kilimanjaro tukauweka hapo ndani halafu tukaenda kuushusha huko turkana. Sasa mlima wao upo turkana
 
Kwani wewe huelewi anachosema wewe. Tuliuchukua mkoba tukaenda mlima.Kilimanjaro tukauweka hapo ndani halafu tukaenda kuushusha huko turkana. Sasa mlima wao upo turkana
hahahaha....hawa watu huwa wanashangaza sana...yaani mtu anaamka kuja kufungua uzi eti wakenya wameeneza habari flani kuhusu rais au mlima umeibiwa...yaani wakenya hawana mambo muhimu ya kufanya au
 
Back
Top Bottom