Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,413
- 7,678
Ubalozi wa China nchini Tanzania umeikituhumu chombo cha habari cha Uingereza(BBC) kwa kutunga habari. Ubalozi huo umesema habari ya China kufungua vituo vya polisi Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania ni uthibitisho unaoonesha jinsi BBC inavyosambaza taarifa zisizo za kweli kuhusu China ili kuvunja uhusiano wa China a Afrika.
Ubalozi umesisitiza China na Tanzania wanafurahia urafiki wa muda mrefu kwenye nyanja zote ambao hauwezi kutikiswa na tetesi au kuharibu taswira kwa taarifa za uongo.
Hata hivyo ubalozi huo haukueleza ukweli ni upi katika taarifa hiyo.
Ubalozi umesisitiza China na Tanzania wanafurahia urafiki wa muda mrefu kwenye nyanja zote ambao hauwezi kutikiswa na tetesi au kuharibu taswira kwa taarifa za uongo.
Hata hivyo ubalozi huo haukueleza ukweli ni upi katika taarifa hiyo.