BBC : Wakenya wasambaza taarifa ya uongo kuhusu Raisi wa Tanzania

BestOfMyKind

JF-Expert Member
Apr 26, 2012
1,335
1,386
Kwa siku kadha sasa, taarifa zimekuwa zikienea kwenye mitandao ya kijamii kwamba Rais wa Tanzania John Magufuli amewataka wanaume nchini Tanzania kuoa zaidi ya mke mmoja.
Taarifa hizo zinadai kwamba kiongozi huyo amependekeza hilo kama suluhu ya kupunguza ukahaba miongoni mwa wanawake wa Tanzania.
Je, kuna ukweli wowote kuhusu madai hayo? Taarifa hizi zilianza wapi na zinadai nini?
Taarifa ya sasa ambayo imekuwa ikisambazwa sana imeandikwa kwa lugha ya Kiswahili na kuchapishwa katika mtandao wa nipasheonline.com, mtandao ambao bila kuwa makini huenda ukadhani una uhusiano na gazeti la Nipashe la nchini Tanzania ambalo huchapishwa na ippmedia. Kampuni hiyo huchapisha pia gazeti la Jumapili kwa jina Nipashe Jumapili. Hata hivyo ippmedia haina uhusiano wowote na mtandao huo. Taarifa zake za Kiswahili hupakiwa katika tovuti yeye jina ippmedia.com/sw, mtandao ambao umekuwepo tangu mwaka 1998.
Hii Nipashe basi ni ya wapi?
Uchunguzi wetu umebaini kwamba tovuti hii imesajiliwa na mhudumu wa mtandao aliyepo jijini Nairobi. Mtandao huo ulisajiliwa mara ya kwanza Agosti mwaka 2017. Hivyo basi ni mtandao ambao umekuwepo kwa mwaka mmoja hivi.
CHANZO: BBC

Namimi nasema; Umbea, husuda na uongo ndio sifa za wakenya. Oooh Olduvai Gorge ipo Kenya, oooh Kilimanjaro ipo Kenya. Acheni upuuzi
 
Kwa siku kadha sasa, taarifa zimekuwa zikienea kwenye mitandao ya kijamii kwamba Rais wa Tanzania John Magufuli amewataka wanaume nchini Tanzania kuoa zaidi ya mke mmoja.
Taarifa hizo zinadai kwamba kiongozi huyo amependekeza hilo kama suluhu ya kupunguza ukahaba miongoni mwa wanawake wa Tanzania.
Je, kuna ukweli wowote kuhusu madai hayo? Taarifa hizi zilianza wapi na zinadai nini?
Taarifa ya sasa ambayo imekuwa ikisambazwa sana imeandikwa kwa lugha ya Kiswahili na kuchapishwa katika mtandao wa nipasheonline.com, mtandao ambao bila kuwa makini huenda ukadhani una uhusiano na gazeti la Nipashe la nchini Tanzania ambalo huchapishwa na ippmedia. Kampuni hiyo huchapisha pia gazeti la Jumapili kwa jina Nipashe Jumapili. Hata hivyo ippmedia haina uhusiano wowote na mtandao huo. Taarifa zake za Kiswahili hupakiwa katika tovuti yeye jina ippmedia.com/sw, mtandao ambao umekuwepo tangu mwaka 1998.
Hii Nipashe basi ni ya wapi?
Uchunguzi wetu umebaini kwamba tovuti hii imesajiliwa na mhudumu wa mtandao aliyepo jijini Nairobi. Mtandao huo ulisajiliwa mara ya kwanza Agosti mwaka 2017. Hivyo basi ni mtandao ambao umekuwepo kwa mwaka mmoja hivi.
CHANZO: BBC

Namimi nasema; Umbea, husuda na uongo ndio sifa za wakenya. Oooh Olduvai Gorge ipo Kenya, oooh Kilimanjaro ipo Kenya. Acheni upuuzi
Sio wakenya bana, bali wahuni fulani. Hawa hawa wahuni ni mara ngapi wameeneza habari gushi kuhusu matukio nchini Kenya, na kuhusu watu mashuhuri, akiwemo rais wetu? Ku- generalize hivi, ati 'wakenya' haifai. Taja hao hao waliohusika kama wahuni tu, unless una nia ya kueneza chuki dhidi ya wakenya Tanzania.
 
ok so 50 million kenyans relayed wrong information about the tanzanian presidento_O:rolleyes:...my friend, majority ya wakenya hata hawajui rais wa tz ni nani na hawana hata interest yoyote ya kumjua....As my friend has said, taja hao walioeneza habari usije ukawalaumu wakenya bure...
 
Where is the link to the source of this information? Ni wewe unayeeneza habari za uongo. Don't just post your crap and claim it's from BBC.
ata ndio nami najiuliza...BBC huwa hawaandiki pumba kama haya...huyu alitaka tu uchokozi...mambo ya kutuambia tumewaibia mlima...duh! mlima mzima pia unaweza ukaibiwa?:rolleyes:
 
ok so 50 million kenyans relayed wrong information about the tanzanian presidento_O:rolleyes:...my friend, majority ya wakenya hata hawajui rais wa tz ni nani....As my friend has said, taja hao walioeneza habari usije ukawalaumu wakenya bure...
Tukisema Wakenya watano mtasema tutaje majina maana Wakenya watano wapo wengi, tukitaja majina mtasema tutaje national id zao maana majina yanafanana. Wakenya ni Wakenya tu, na hii ni taarifa ya BBC sio yangu.
 
Tukisema Wakenya watano mtasema tutaje majina maana Wakenya watano wapo wengi, tukitaja majina mtasema tutaje national id zao maana majina yanafanana. Wakenya ni Wakenya tu, na hii ni taarifa ya BBC sio yangu.
smh...nobody will ask about their national IDs my friend...pengine utuletee link maana naona hapo watakuwa wameanza kuandika habari za kijinga...anyway, unaweza ukasema baadhi ya wakenya wamefanya abcd....
 
,
IMG-20181005-WA0003.jpeg
 
in the first place, yapo magazeti ya kiswahili kenya siku hizi bado?
 
ok so 50 million kenyans relayed wrong information about the tanzanian presidento_O:rolleyes:...my friend, majority ya wakenya hata hawajui rais wa tz ni nani na hawana hata interest yoyote ya kumjua....As my friend has said, taja hao walioeneza habari usije ukawalaumu wakenya bure...
Usitudanganye bhana, majority of kenyans know him and wish he was your president.
nb, #Whatwouldmagufulido ilianzishwa na wakenya. Sasa unatudanganya nn. Kakojoe ulale
 
ok so 50 million kenyans relayed wrong information about the tanzanian presidento_O:rolleyes:...my friend, majority ya wakenya hata hawajui rais wa tz ni nani na hawana hata interest yoyote ya kumjua....As my friend has said, taja hao walioeneza habari usije ukawalaumu wakenya bure...
Kwel nyani ni nyan tu,nyie wakenya twitter,facebook etc. Mnalilia mpewe magufuli kwa hata masaa 72 leo unamkuta nyan anasema hawamjui!!!,Tafadhali usini-quote kwasababu siwez kuongea na kilaza kam wewe.
 
Kwel nyani ni nyan tu,nyie wakenya twitter,facebook etc. Mnalilia mpewe magufuli kwa hata masaa 72 leo unamkuta nyan anasema hawamjui!!!,Tafadhali usini-quote kwasababu siwez kuongea na kilaza kam wewe.
ewe mlaji albino toka maeneo ya tandale, majority of kenyans dont care abt ur president..na usinipangie cha ku quote pimbi mkubwa ww
 
ok so 50 million kenyans relayed wrong information about the tanzanian presidento_O:rolleyes:...my friend, majority ya wakenya hata hawajui rais wa tz ni nani na hawana hata interest yoyote ya kumjua....As my friend has said, taja hao walioeneza habari usije ukawalaumu wakenya bure...
Hahahahajahaha, eti nini?, wakenya wengi hawamjui Magufuli?. Magufuli is more popular in Kenya than Uhuru Kenyatta.
 
Back
Top Bottom