vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 2,668
- 5,278
Hawa BBC Swahili watakuwa wamepokea nini unadhani nikiwasikiliza online wanakwepa kabisa kujadili Waarabu kuuziwa nchi viongozi.
Najaribu kukumbuka hawa watu walikuwa na ueledi sana kipindi Hayati Magufuli yupo madarakani walihoji bila woga.
Walihoji udhaifu Magufuli kubinya demokrasia.
Lakini sasa wapo kimya na ufisadi unaofanyika kule Tanganyika, nasema bbc kwasababu yeye anakuwa na nafasi zaidi kuliko media za Tanganyika kuripoti hizi habari za Tanganyika kuuzwa.
DW- Swahili ndio kidogo wanamulika hii kashfa ya nchi kuuzwa.
BBC Swahili au tuunge dot kuanzia kwa zoora yonos.
Najaribu kukumbuka hawa watu walikuwa na ueledi sana kipindi Hayati Magufuli yupo madarakani walihoji bila woga.
Walihoji udhaifu Magufuli kubinya demokrasia.
Lakini sasa wapo kimya na ufisadi unaofanyika kule Tanganyika, nasema bbc kwasababu yeye anakuwa na nafasi zaidi kuliko media za Tanganyika kuripoti hizi habari za Tanganyika kuuzwa.
DW- Swahili ndio kidogo wanamulika hii kashfa ya nchi kuuzwa.
BBC Swahili au tuunge dot kuanzia kwa zoora yonos.