Cambodian
Member
- Sep 6, 2021
- 35
- 92
Nimetoka kutizama Documentary ikiielezea maandamano ya Kenya .
Documentary ile imeenda mbali na kukusanya ushahidi wa video kabisa ikimuonesha askari aliyehusika kumuua mwandamanaji mmoja .
Video hii itabaki milele na haki itakuja kupatikana tu . Ushauri kwa wote wanaojiona invisibles na untouchable waogope sana teknolojia na haki ya mtu itapatikana tu.
Tutaelewana tu.
Documentary ile imeenda mbali na kukusanya ushahidi wa video kabisa ikimuonesha askari aliyehusika kumuua mwandamanaji mmoja .
Video hii itabaki milele na haki itakuja kupatikana tu . Ushauri kwa wote wanaojiona invisibles na untouchable waogope sana teknolojia na haki ya mtu itapatikana tu.
Tutaelewana tu.