BAWACHA wafanyiwa fujo mkutanoni Tanga

BAWACHA wafanyiwa fujo mkutanoni Tanga

sipati picha CCM wakidondoka katika uchaguzi mkuu ngazi ya urais nani atawalilia,kwa sababu vitendo wanavyofanya sio kabisa kwa upinzani na lengo la upinzani ni kuishinikiza serikali ilioko madarakani kusukuma gurudumu la maendeleo kupitia sera na mikakati yake iliyojipangia.
wananchi tuamke tupinge vitendo hivyo kwa nguvu ya pamoja.
 
Hiyo taarifa niliona jana kupitia ITV saa mbili usiku na ni kweli watu waliumia lakini mkutano uliendelea kawa ulivyokuwa umepangwa.
 
siwezi Amini habari za itv daima Tanzania daima maana ndiyo hao hao m4c daima waongo sana
 
Unajua mtu kama ni mbishi kuna sehemu inabidi ukubali hata kama una msimamo wa chama fulani,taarifa hiyo iliambatana na picha na mwandishi wa tanga bwana Mngazija karipoti na picha zilionyesha vurugu hizi sasa ubishi wa nini?acha hizo bhana.
 
Mkuu Hayaland nasikitika sana kwa kutujumlisha watu wote wa Tanga kwa ujinga wa mjinga mmoja inauma lakini ukombozi unakuja soon
 
unajua moja ya mikoa yenye wajinga wengi na wapumbavu wengi ni mikoa ya pwani ikiwemo TANGA.Na ujinga huo umedhihilishwa na mtu anayejiita NASMAPESA.Anaona kushabikia dini anajiona kwamba yeye ni mwislam kamili,kama tanga kuna waislam wengi mbona ni mabingwa wa kufanya mapenzi kinyume na maumbile?pili mbona ni walevi kupindukia?tatu,mbona ni wala rushwa kupitiliza? nne, mbona ni wazembe katika kazi wanaume hao mnaowaita mahustadhi uwezo wa kufikiri hawana na wanapokea hongo toka kwa makada wanaosaka urais.mie siwashangai watu wa Tanga kwa ujinga wao na ufikiri mdogo kabisa kutamka ujinga huo.Tembea mikoa ya watu uone watu walivyoendelea ngazi ya familia, nyie kuendekeza udini na uchochezi mnaona mmefika.

Mods huyu anastahili ban ya maisha, ni mbaguzi, anawatukana watanzania wenzetu walioko Tanga. Chadema acheni chuki kwa waislam
 
CDM waimarishe Red Brigade huko Tanga... Mwaka huu CCM lazima ing'oke madarakani hata wakiwatumia wazee wa mapangoni na wasafiria fisi ...
 
Mods watakuacha kwakuwa wanajua kuwa ajira yako iko humu jamvini ... Jiulize kwanini wala maarage wanaendelea kujiona wanahati miliki ya kutawala nchi hii? Jiulize ile ahadi ya Mahakama ya kadhi ilikuwa na lengo gani Zaidi ya hadaa kwa Umaa wa Kiislam? Jiulize kwanini CCM ilikuwa inatoa ruzuku ya mabilioni kwa mla maharage pekee? No wonder Lowassa anapigwa mawe ya kutosha kwakuwa anatoka Imani tofauti na wale wala maharage .... Waislam tunajua adui yetu ni akina nani na walianzisha BAKWATA kwa lengo gani ...

Chadema wanawachukia sana Waislam
 
Acha kutukana watu na dini zao kwa mambo ya kipuuzi ya siasa za kitanzania zisizo za kweli ww laki si pesa aka kanga moko wewe.
Unadhani Tanga watu wote ni wajinga kama wewe. Kama matusi ni mtaji wa kisiasa toeni chama chenu cha wachaga Tanga mkafanye kampeni moshi kusiko na udini. Tukileta idini kwenye vyama basi Chadema hamna sifa hata mnaongozwa na mchungaji mstaafu ila waislam wamenyamaza kwa hili unafikiri ni wajinga kama wewe.
Siku zote nchi hii anaeleta udini ni mwislam ila nyie kuongozwa na mapadri kwenye vyama c udini na viongoz wenu kupinga mambo binafsi ya waislam hata kikatiba c udini?
Laiti kama kuna chama Tanzania kingeongozwa na mufti mstaafu sijui mngekiitaje nyie ila waislam wanawaunga mkono na chama chenu kinachoongozwa na padre mstaafu kweli wanafiki hawajifichi hata cku moja.
Sasa kwa kukusaidia tuu nchi hii Chadema msahau kuiongoza pamoja na ujinga wetu watu wa pwani ila ndio msahau hata mkirubuni kura zetu kuungana na cuf ni bure.
....jipangangeni chama chenu cha wachaga na familia moja ni hayo tuu. .....
 
unajua moja ya mikoa yenye wajinga wengi na wapumbavu wengi ni mikoa ya pwani ikiwemo TANGA.Na ujinga huo umedhihilishwa na mtu anayejiita NASMAPESA.Anaona kushabikia dini anajiona kwamba yeye ni mwislam kamili,kama tanga kuna waislam wengi mbona ni mabingwa wa kufanya mapenzi kinyume na maumbile?pili mbona ni walevi kupindukia?tatu,mbona ni wala rushwa kupitiliza? nne, mbona ni wazembe katika kazi wanaume hao mnaowaita mahustadhi uwezo wa kufikiri hawana na wanapokea hongo toka kwa makada wanaosaka urais.mie siwashangai watu wa Tanga kwa ujinga wao na ufikiri mdogo kabisa kutamka ujinga huo.Tembea mikoa ya watu uone watu walivyoendelea ngazi ya familia, nyie kuendekeza udini na uchochezi mnaona mmefika.

Mbona povu linakutoka sana meku,asante kwa kutukana mikoa ya pwani sasa mnakuja kufanya nini?
 
Mkuu Hayaland nasikitika sana kwa kutujumlisha watu wote wa Tanga kwa ujinga wa mjinga mmoja inauma lakini ukombozi unakuja soon

Acha kujibaraguza kwa sehemu isiyokuhusu,tanga hakuna punga kama wewe.
 
Ila hoja yangu utakua umeelewa pamoja na akili yako ndogo,katibu mkuu a.k.a mchumba wa mshumbusi aliahidi kua endapo wataingia ikulu moja ya mambo watakayofanya ni kuhalalisha pombe,kwa akili tu ya chekechea wilaya ya tanga kwa imani ya kidini kila mtu anafahamu sasa swali je maustadhi wa pale tanga watakubaliana na tamko la slaa?ukipata jibu ndo ujue chadema wanapoteza ghalama na muda tu tanga.

Una akili nyepesi Sana,hivi tanga hamna walevi,au pombe hazinyweki kabisa tanga?
aisee Kama ndio siasa zenu hizi,then in tena years coming tutakuwa na wanasiasa bogus Sana.
hiyo sio hoja hata siku moja ya kusimama nayo hadharani,too cheap too low..alafu na wewe unajiita mwenyewe akili.
 
Hiki chama kinatafuta umaarufu wa kipuuzi tu,sasa tanga na chadema wapi na wapi,maustadhi wamejaa mji wote leo hii wakubali chama ambacho kupitia katibu wake kina sera ya kuhalalisha pombe,unadhani watu wa tanga ni sawa na watu wa kishumundu?

Mbona Tanga kuna baa za pombe hao wateja wanatokaga Kishumundu na wakishakunywa wanaondoka?
 
Pamoja na kuita watu wa pwani wajinga sidhani kama tunaweza kuruhusu padri awe rais wa nchi hii,labda iwe ni siku ya mwisho wa dunia hii.
 
Hiki chama kinatafuta umaarufu wa kipuuzi tu,sasa tanga na chadema wapi na wapi,maustadhi wamejaa mji wote leo hii wakubali chama ambacho kupitia katibu wake kina sera ya kuhalalisha pombe,unadhani watu wa tanga ni sawa na watu wa kishumundu?
.........Unakanyagwa wewe!!. Unaonekana hata hiyo Tanga huijui vizuri. Sio kila kitu kinachoandikwa na wewe lazima uandike upuuzi wako. Shame on you.....bit..ch!!!!!
 
Aunt Nasma una matatizo kichwani huwezi kuwa mtu wa Tanga wewe hatuko hivyo
 
Back
Top Bottom