BAWACHA wafanyiwa fujo mkutanoni Tanga

BAWACHA wafanyiwa fujo mkutanoni Tanga

Mbona Lowassa walipokea hela yake jana na yeye ni mwislam, alafu mnaojiona wenye dini na ndio hao Wa kwanza kula rushwa ya ccm, nyie ni njaa hmna lolote, kwahiyo Tanga wote ni Waislam,chocheeni tu udini mkiwa na imani kuwa mtakuwa na uwezo Wa kuizima au mnafikiri vita vya udini mnaochechea nyie waislam hamtakufa ,vita haina macho,unaweza kutumia lugha za kichochezi za kidini kufurahisha mabwana zako ccm lakini haujui kuwa unapanda chuki mbaya sana ya kidini, ukisema Tanga maustadh wengi hawatki chadema je' siku mgombea mwislam akija mathalani mkoa Wa Mara ambao Wkristo ni wengi naye afanyiwe fujo, hata ndio kusubiria ukuu Wa Wilaya kwa njia tambua kuwa unagawa nchi, waambie na hao wanaokutuma,utatumbukiza nchi vitani kwa huu upuuzi Wako chochea na endelea kuchochea!!!

Ila hoja yangu utakua umeelewa pamoja na akili yako ndogo,katibu mkuu a.k.a mchumba wa mshumbusi aliahidi kua endapo wataingia ikulu moja ya mambo watakayofanya ni kuhalalisha pombe,kwa akili tu ya chekechea wilaya ya tanga kwa imani ya kidini kila mtu anafahamu sasa swali je maustadhi wa pale tanga watakubaliana na tamko la slaa?ukipata jibu ndo ujue chadema wanapoteza ghalama na muda tu tanga.
 
Huo ujinga waufanyie huko huko kwa watu wa pwani, siku wakisubutu kuingia katika anga zetu huku kanda ya ziwa tunaondoka na viungo vyao vya uzazi. Sisi hatucheki na mafisi.
 
Ila hoja yangu utakua umeelewa pamoja na akili yako ndogo,katibu mkuu a.k.a mchumba wa mshumbusi aliahidi kua endapo wataingia ikulu moja ya mambo watakayofanya ni kuhalalisha pombe,kwa akili tu ya chekechea wilaya ya tanga kwa imani ya kidini kila mtu anafahamu sasa swali je maustadhi wa pale tanga watakubaliana na tamko la slaa?ukipata jibu ndo ujue chadema wanapoteza ghalama na muda tu tanga.
Wewee! Utaacha lini ujinga? Kwa dini gani ilyopo pwani? Hivi unajua kwamba mikoa ya pwani wako juu sana kwa kupiga "chang'aa"? Ikipigwa ngoma ya asili chang'aa iko pembeni,ikifanyika harusi halikadhalika unataka kusema nini wewe!?
 
Halafu Mutungi anasema havitakiwi vikundi vya lkujilinda naogopa kusema huenda iko namna ili wasijilinde napoliccm wasiwepo ili waje kuwashambulia wapinzani.

No wonder yameagiziwa magari 777 ya polisi,

:-🙂'(
 
Hiki chama kinatafuta umaarufu wa kipuuzi tu,sasa tanga na chadema wapi na wapi,maustadhi wamejaa mji wote leo hii wakubali chama ambacho kupitia katibu wake kina sera ya kuhalalisha pombe,unadhani watu wa tanga ni sawa na watu wa kishumundu?

Unawashwa kinani ..... Nije kukukuna
 
Ila hoja yangu utakua umeelewa pamoja na akili yako ndogo,katibu mkuu a.k.a mchumba wa mshumbusi aliahidi kua endapo wataingia ikulu moja ya mambo watakayofanya ni kuhalalisha pombe,kwa akili tu ya chekechea wilaya ya tanga kwa imani ya kidini kila mtu anafahamu sasa swali je maustadhi wa pale tanga watakubaliana na tamko la slaa?ukipata jibu ndo ujue chadema wanapoteza ghalama na muda tu tanga.

Jitu zima linauwezo mdogo wa kufikr si bora ufe kaz kuchochea udini tuu mi mwenyewe ni wa tanga ila una tabia chafu
 
Nilishawai sema
-FAIZA FOX,LAKI SIPESA,LIZBONI.HIZI ZINAWEZA KUWA NI COMPUTER AFFECTED WITH VIRUS za CCM....Hawa sio bina damu jamani ukibshana nao unapoteza muda na kujaza thread/sever bure.
 
Jitu zima linauwezo mdogo wa kufikr si bora ufe kaz kuchochea udini tuu mi mwenyewe ni wa tanga ila una tabia chafu

Tanga hakuna funza kama wewe,mahaba yako na taasisi za watu ndiyo yatakuua,unashabikia chadema unajua dhumuni la kuanzishwa?fanya kazi we mtoto umekaa na akili zako zisizojaa hata kwenye kizibo eti chadema watakuletea maendeleo,mxuuuuu,kama ulizaliwa tanga ilikua bahati mbaya,pombe zenu kunyweni wenyewe.
 
Wewe Asmapesa acha kujitoa akili unaongea ujinga na unatudhalilisha watu wagosi wenzio!!
 
tz ndugu zangu umefika mda wa mapinduzi ccm kwasababu haina msaada na tz wachieni chadema kwasababu ni mpango wa mungu na mungu akisema lazima liwe jiiondekeni bado miezi minne 2 poleni sn
 
Ndio maana Mbowe alisema lazima kila kata iwe na vijana wa kukilinda chama, polisi ni wazembe na hawajali ulinzi kwa upinzani. October tutaheshimiana tu
 
Ila hoja yangu utakua umeelewa pamoja na akili yako ndogo,katibu mkuu a.k.a mchumba wa mshumbusi aliahidi kua endapo wataingia ikulu moja ya mambo watakayofanya ni kuhalalisha pombe,kwa akili tu ya chekechea wilaya ya tanga kwa imani ya kidini kila mtu anafahamu sasa swali je maustadhi wa pale tanga watakubaliana na tamko la slaa?ukipata jibu ndo ujue chadema wanapoteza ghalama na muda tu tanga.

Wazo duni
 
Ila hoja yangu utakua umeelewa pamoja na akili yako ndogo,katibu mkuu a.k.a mchumba wa mshumbusi aliahidi kua endapo wataingia ikulu moja ya mambo watakayofanya ni kuhalalisha pombe,kwa akili tu ya chekechea wilaya ya tanga kwa imani ya kidini kila mtu anafahamu sasa swali je maustadhi wa pale tanga watakubaliana na tamko la slaa?ukipata jibu ndo ujue chadema wanapoteza ghalama na muda tu tanga.
Kwamba ata halalisha pombe? Kwani sasa hivi pombe ni haramu? kwanza fuatilia kodi zinazo toka kwenye makampuni ya pombe, kampuni ya chibuku inapolipa kodi kubwa kuliko hata mgodi wa buzwagi huoni kuwa hao walevi ndo wanao fanya selekali yako chovu iishi? Ukiona mtu yuko baa anakunywa tambua kuwa kamuwezesha Kikwete kusafiri, kawezesha ujenzi wa barabara (japo nazo mnazichakachua) amewezesha panado uikute pale zahanati, amewezesha...........
 
Ila hoja yangu utakua umeelewa pamoja na akili yako ndogo,katibu mkuu a.k.a mchumba wa mshumbusi aliahidi kua endapo wataingia ikulu moja ya mambo watakayofanya ni kuhalalisha pombe,kwa akili tu ya chekechea wilaya ya tanga kwa imani ya kidini kila mtu anafahamu sasa swali je maustadhi wa pale tanga watakubaliana na tamko la slaa?ukipata jibu ndo ujue chadema wanapoteza ghalama na muda tu tanga.

wewe ndo kikwete kweli. kwani nchi hii pombe ni haramu. huoni bar Zimejaa kila mtaa.
 
Hujitambui serikali iliyopo inategemea kodi za walevi
Hiki chama kinatafuta umaarufu wa kipuuzi tu,sasa tanga na chadema wapi na wapi,maustadhi wamejaa mji wote leo hii wakubali chama ambacho kupitia katibu wake kina sera ya kuhalalisha pombe,unadhani watu wa tanga ni sawa na watu wa kishumundu?
 
unajua moja ya mikoa yenye wajinga wengi na wapumbavu wengi ni mikoa ya pwani ikiwemo TANGA.Na ujinga huo umedhihilishwa na mtu anayejiita NASMAPESA.Anaona kushabikia dini anajiona kwamba yeye ni mwislam kamili,kama tanga kuna waislam wengi mbona ni mabingwa wa kufanya mapenzi kinyume na maumbile?pili mbona ni walevi kupindukia?tatu,mbona ni wala rushwa kupitiliza? nne, mbona ni wazembe katika kazi wanaume hao mnaowaita mahustadhi uwezo wa kufikiri hawana na wanapokea hongo toka kwa makada wanaosaka urais.mie siwashangai watu wa Tanga kwa ujinga wao na ufikiri mdogo kabisa kutamka ujinga huo.Tembea mikoa ya watu uone watu walivyoendelea ngazi ya familia, nyie kuendekeza udini na uchochezi mnaona mmefika.
 
Back
Top Bottom