BAWACHA wafanyiwa fujo mkutanoni Tanga

BAWACHA wafanyiwa fujo mkutanoni Tanga

MKONGA

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
667
Reaction score
458
Vijana wanaoaminika kutumwa na ccm leo wamevamia mkutano wa Bawacha CDM huko tanga na kufanya vurugu zilizopelekea baadhi ya watu kujeruhiwa
Hata hivyo mkutano huo uliokuwa na vibali vyote na baraka za RPC na OCD tanga haukuwa na ulinzi wala polisi hawakuonekana wakati wa fujo.
ITV Habari!
 
Wako vizuri Chadema nimeona jamaa katolewa damu. Next time waondoke na ndude zao kabisaaaa
 
ingekuwa wamefanya cdm ungeona jinsi ambavyo polis wangehaha kukamata wapinzani.
 
Bawacha ipo tz yote. Ila la msingi kama walikuwa na vibali kwa nini hawakupewa ulinzi? This is unfair! Nchi hii ni yetu sote.
 
Halafu Mutungi anasema havitakiwi vikundi vya lkujilinda naogopa kusema huenda iko namna ili wasijilinde napoliccm wasiwepo ili waje kuwashambulia wapinzani.

No wonder yameagiziwa magari 777 ya polisi,
 
Huwa sipendi kusikia mwanaume analalamika kupigwa wakati uwezo wa kujibu anao.
 
Hiki chama kinatafuta umaarufu wa kipuuzi tu,sasa tanga na chadema wapi na wapi,maustadhi wamejaa mji wote leo hii wakubali chama ambacho kupitia katibu wake kina sera ya kuhalalisha pombe,unadhani watu wa tanga ni sawa na watu wa kishumundu?
 
Tanga hakuna BAWACHA. acha uongo

Napata shaka na ufahamu wako ,kila hatua ya maendeleo ya utendaji na menejiment ya chadema ,ni lazima ufaham?basi ungekuwa makini ungefuatilia leo ITV ,ndo ungethibiyisha kuwa aidha we kichaa au pia unawendawazimu,maana vyombo vya habari bawacha ipo na kikao kikubwa mpka mkutano wa nje umefanyika
 
Hiki chama kinatafuta umaarufu wa kipuuzi tu,sasa tanga na chadema wapi na wapi,maustadhi wamejaa mji wote leo hii wakubali chama ambacho kupitia katibu wake kina sera ya kuhalalisha pombe,unadhani watu wa tanga ni sawa na watu wa kishumundu?

Mbona Lowassa walipokea hela yake jana na yeye ni mwislam, alafu mnaojiona wenye dini na ndio hao Wa kwanza kula rushwa ya ccm, nyie ni njaa hmna lolote, kwahiyo Tanga wote ni Waislam,chocheeni tu udini mkiwa na imani kuwa mtakuwa na uwezo Wa kuizima au mnafikiri vita vya udini mnaochechea nyie waislam hamtakufa ,vita haina macho,unaweza kutumia lugha za kichochezi za kidini kufurahisha mabwana zako ccm lakini haujui kuwa unapanda chuki mbaya sana ya kidini, ukisema Tanga maustadh wengi hawatki chadema je' siku mgombea mwislam akija mathalani mkoa Wa Mara ambao Wkristo ni wengi naye afanyiwe fujo, hata ndio kusubiria ukuu Wa Wilaya kwa njia tambua kuwa unagawa nchi, waambie na hao wanaokutuma,utatumbukiza nchi vitani kwa huu upuuzi Wako chochea na endelea kuchochea!!!
 
Hiki chama kinatafuta umaarufu wa kipuuzi tu,sasa tanga na chadema wapi na wapi,maustadhi wamejaa mji wote leo hii wakubali chama ambacho kupitia katibu wake kina sera ya kuhalalisha pombe,unadhani watu wa tanga ni sawa na watu wa kishumundu?

naamini unaweza ukafikiria zaidi ya hapa
 
Back
Top Bottom