Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,079
- 9,246
Sasa hao si wavuta bangi kabisa hao katika picha hizo nani anafanana na uongozi? Tusifanyane watoto wadogo.
kwanini nguvu kubwa ya ujenzi wa chama mnaelekeza kwenye ngome zenu tu? mtu aliyeokoka haitaji kuhubiriwa sana. kwanini hampeleki nguvu kubwa pwani, lindi, mtwara, zanzibar,katavi etc. au hamna cha kuwaambia?
inamaana miakaka yote kulikuwa hamna kanda ya kusini! hata hivyo ni vizuri kwamba mmeanza kubadilika.Uwezo wako wa kutafakari ni mdogo sana,
Mh.John Mnyika juzi alizindua kanda ya kusini,yaani Lindi,Mtwara na Pwani,
Kisha Salm Mwalimu atazindua Unguja,na Pemba.
Haitoshi,nenda kaone field ya msingi inavyoendelea Mikoa ya kusini,au unataka tukuoneshe mbinu zetu?, kakae Lumumba ambao wameapa Rais hatatoka kaskazi "
Lakini pia unapoendelea kutoa mapovu,njoo utuambie Kampuni la Mabasi ya Scandinnavia iko wapi? ,unamjua mmiliki?
Wewe ambae huoni macho ndio yamevurugwa na BangiSasa hao si wavuta bangi kabisa hao katika picha hizo nani anafanana na uongozi? Tusifanyane watoto wadogo.
Bavicha wanatia huruma, Mbowe kawatenga kabisa
Bavicha ndio salamu ya vijana wa Tanzania
![]()
Wanachama wa Chadema wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa mkakati wa ushindi katika Uchaguzi Mkuu. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam jana . Picha na Said Khamis
Sasa hao si wavuta bangi kabisa hao katika picha hizo nani anafanana na uongozi? Tusifanyane watoto wadogo.
eee bhana mkuu sina cha kukulipa kwa wema wako wa kutuwekea hii picha nzuri , uwezo wangu ni kusema asante tu .
eee bhana mkuu sina cha kukulipa kwa wema wako wa kutuwekea hii picha nzuri , uwezo wangu ni kusema asante tu .