BAVICHA Watikisa Majiji Matatu Tanzania

BAVICHA Watikisa Majiji Matatu Tanzania

Hii ndiyo Bavicha tuitakayo...Taasisi Imara kabisa ndani ya Chadema
 
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php

Hawa ndiyo vijana wa Bavicha wakipigania Ukombozi wa Taifa hili.
 
inamaana miakaka yote kulikuwa hamna kanda ya kusini! hata hivyo ni vizuri kwamba mmeanza kubadilika.



Katika ukweli chadema tulianza kujenga uongozi thabiti HQ,tukaunda kurugenzi muhimu,tukaunda taasisi muhimu Bavicha,Bawacha,na wazee.

Tupofika hapo tukaunda Chaso iwe imara tulipomaliza tulielekea kuunda uongozi kila mkoa na wilaya1992-2009,

Baada ya hapo tumeamua 2012-leo kuunda kamda za kichama,kuunda uongozi imara ngazi ya kata / kijiji/ kitongoji na tawi.

Hivi sasa chama kinaendelea ngazi ya msibgi ambapo kupitia ngazi ya msingi chama kinaanza kuwa kikubwa.Inahitaji usimamizi wa kisayansi si harakati tena.Kujenga chama ni kazi,ni ujuha tu mtu kuibuka na kusema ni chama cha ukanda,udini na ukabila.

Ifahamike kuwa katika halmashauri 148, Tanzania bara,Chadema ipo kichama na kiserikali.

Zitto amepishana na gari kiasi kikubwa!
 
CDM noumaaaaa, pole yao vibaraka wa mafisadi na kimchepuko chao
 
Maagizo - mkirudi kutoka USHIRIKA - TUKUYU msisahau kuniletea kidumu cha maziwa bora .nani hayajui maziwa bora ya ng'ombe kutoka ushirika ?
 
kwanini nguvu kubwa ya ujenzi wa chama mnaelekeza kwenye ngome zenu tu? mtu aliyeokoka haitaji kuhubiriwa sana. kwanini hampeleki nguvu kubwa pwani, lindi, mtwara, zanzibar,katavi etc. au hamna cha kuwaambia?

mkuu naona wewe huwa hufuatili habari ni juzi tu siku ya JUMAPILI tulikuwa na KAMANDA MNYIKA akiunguruma katika KIWANJA CHA MASHUJAA huku kwetu MTWARA alikuja kwa ajili ya kufungua kanda ya kusini ambayo inajumuisha mikoa ya lindi na mtwara so huku kwetu Mtwara na lindi wamefika na tumewaelewa vizuri!!
 
Back
Top Bottom