minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,367
Mbowe na akina mdee ndiyo wameipeleka chadema ICU kwa njaa zao siyo mnyika na Lisu ambao hawakupokea chochote tokea CCMChadema itakufa kama CCM kwa makosa ya chama sio ya kutengenezwa kama haya.