mkuu nasikia upo kweny list ya watu watakaoapishwa palace na mh.Kupoteza muda tu
Hawana lolote
Walshaambiwa chama kmegradueti hawaskii.. Maagzo haya ad ln? Em waambien vjana hao wakafanye kaz wajenge taifa.Hawa nao inaelekea hawana washauri wazuri...kuna haja ya kutangaza kuwa watafanya mikutano ya ndani nchi nzima??...Why can't you learn you people?? Siasa za ujivuni zimepitwa na wakati...Kwa maoni yangu kadri mnavyozidi kupambana na dola ndivyo mnavyozidi kuonekana kuwa ni chama cha fujo....Kama mnafanya mikutano ya ndani hamna haja ya kutangaza kwani hiyo ni mikutano ya ndani...Ila ikiwa hiyo mikutano ya ndani inageuka kuwa ya uchochezi, sasa hapo ni tatizo...
Kama mkutano wetu wa ndani kwani kuna tatizo au ni sisi tuMkutano wandani
Hehehe watakuwa wacheza kamali
So ulirakata wacheze na chama kisichokuwa na dola?Huu utoto unazidi kufanya umma uzidi kuwaona wasanii tu. Siasa zinawashinda badala yake mnataka kutumia vijana ili mbaki kwenye headlines. Akili zenu zimeishia hapo? Mkishindwa uchaguzi 2020 mtazira tena matokeo na kuanza kuzuga eti "patachimbika". Badala ya mikakati ya tume huru, katiba mpya iliyopingwa na EL n.k mnacheza rede na CCM while yenyewe ina dola!
Wewe unazunguka nchi nzima kuhamasisha vijana wachape kazi?Hao vijana ni group la wapumbavu ambao wanatumika na wanaume wenzao.. Zunguka nchi nzima kuwahamasisha vijana wachape kazi na kujenga nchi yao, zunguka nchi nzima kutoa semina za ujasiriamali kwa vijana.. Sasa hao wapuuzi wanazunguka kumsifia lowassa na mbowe
Kukabidhiana not kuchaguaCCM mkutano wao ni kumchagua Mwenyekiti wa chama chao.. Nyie mnazunguka nchi nzima kutafuta nini??
Hili swali waulize CCM et talHivi ukiwa kwenye siasa uruhusiwi kuwa na ajira au kujiajiri? Ni muda gani hawa watu watakuwa wanaandaa future za familia zao?
Familia tena we unavohisi familia ya mbowe inamaisha magumuHicho wanachokifanya ndicho kilichokuwa kinafanywa na akina Mnyika & co.
Hii ndio future yao, na suala la familia halina muda wa kuandaa; Laja automatically.
Polisi na uongozi wa chama chako wanaifahamu zaidi na kuiheshimu CDM. Huoni wanavyobabaikaHuu utoto unazidi kufanya umma uzidi kuwaona wasanii tu. Siasa zinawashinda badala yake mnataka kutumia vijana ili mbaki kwenye headlines. Akili zenu zimeishia hapo? Mkishindwa uchaguzi 2020 mtazira tena matokeo na kuanza kuzuga eti "patachimbika". Badala ya mikakati ya tume huru, katiba mpya iliyopingwa na EL n.k mnacheza rede na CCM while yenyewe ina dola!
Nayo mnaiogopa?Hawa nao inaelekea hawana washauri wazuri...kuna haja ya kutangaza kuwa watafanya mikutano ya ndani nchi nzima??...Why can't you learn you people?? Siasa za ujivuni zimepitwa na wakati...Kwa maoni yangu kadri mnavyozidi kupambana na dola ndivyo mnavyozidi kuonekana kuwa ni chama cha fujo....Kama mnafanya mikutano ya ndani hamna haja ya kutangaza kwani hiyo ni mikutano ya ndani...Ila ikiwa hiyo mikutano ya ndani inageuka kuwa ya uchochezi, sasa hapo ni tatizo...
Dodoma haaendi tena? siasa bana!!Sasa sijui watakuja na sababu gani tena?
Wewe ebu acha kuongea pumba....TUMEISHA KUOMBA MTUPE MREJESHO WA MATAMKO YA HAO SO CALLED BAVICHA....UMESHINDWA EBU TAFTA KAZI ZA KUFANYA NDUGU YANGU.....MNAKIFIRISI HICHO CHAMA.....maana mnakula posho zA bure.....Kama unafikiri ni utani stay tune Bavicha hawana utani wa UVCCM
Hivi ukiwa kwenye siasa uruhusiwi kuwa na ajira au kujiajiri? Ni muda gani hawa watu watakuwa wanaandaa future za familia zao?
Sasa sijui watakuja na sababu gani tena?
Wataanzia Njombe na Tandahimba na watamalizia Moshi na Arumeru. Lakini wakiuawa na polidu watashitakia Mwanza.Habari zilizonifikia mdaa si mrefu ni kuwa Baraza la Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAVICHA, linatarajia kuzunguka nchi nzima kufanya mikutano ya ndani ya kikatiba.
kwa utaratibu wataanza na Mkoa gani watotoa taarifa siku za karibuni.
Stay tune..
Waliofanya hivyo ni kina Mandela kutoka apartheid na Kagame kutoka genocide. Hawa wanapigana na nani? Ukombozi gani wa kuangalia TV live saa za kazi na kuchukua posho za bunge halafu utoke nje ukale?Wanaanda future ya watoto wako na wajukuu zako pia.Wanajitoa ili kizazi chacko kije kifaidi matunda ya Demkrasia ya kweli hapo baadae.
Fikiri kwa mapana na zaidi ukiweka mbele uzalendo na sio ukada.