Battle:Nairobi university vs Dar es salaam university

Battle:Nairobi university vs Dar es salaam university

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,782
Wasalaam.Mimi kama mdau wa Elimu najiuliza na nina kiu kujua kwamba ni chuo kipi bora hapo.
Najua vipo vyuo vikuu bora vingi katika nchi hizi na barani Africa

Ila kwa leo tuangalie ubora wa Taaluma na wataalamu wanaopikwa katika vyuo hivi vya Nairobi na Dar es Salaam.

Pia tutaangalia miundombinu bora na inayozingatia sayansi na technologia na kusapoti walemavu pia.
Karibuni sana wadau.

images (33).jpeg
AB5caB9ZhHXj2iYAGb1BiZsv2Bwize_ywOxnGV3_lm-Y024lXOyr-rUAUyODMjsCrw-2IlC1RQvRxDstVMWeeKWDR1Dzap...jpg
 
Jengo la kwanza maarufu kama Nkrumah Hall na Picha ya Pili ni Nairobi Adminstration Blocks
 
Wasalaam.Mimi kama mdau wa Elimu najiuliza na nina kiu kujua kwamba ni chuo kipi bora hapo.
Najua vipo vyuo vikuu bora vingi katika nchi hizi na barani Africa

Ila kwa leo tuangalie ubora wa Taaluma na wataalamu wanaopikwa katika vyuo hivi vya Nairobi na Dar es Salaam.

Pia tutaangalia miundombinu bora na inayozingatia sayansi na technologia na kusapoti walemavu pia.
Karibuni sana wadau.

View attachment 3298300View attachment 3298301
Dah! Nkrumah hall.

Hilo jengo sijui lina uimara gani tu sasa hivi maana umri wake umeenda sasa.

Lotsa great memories from there…..from Jimmy Katumba’s mini concert to Edward Seaga’s lecture and meet and greet!
 
Dah! Nkrumah hall.

Hilo jengo sijui lina uimara gani tu sasa hivi maana umri wake umeenda sasa.

Lotsa great memories from there…..from Jimmy Katumba’s mini concert to Edward Seaga’s lecture and meet and greet!
Chuma ya mjerumani hio
 
Back
Top Bottom