Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 5,722
- 5,583
Kajengo kabaya ....Mwanza kale kajengo kenj mnakopigia kelele ka floor 6 mtakazindua lini?
View attachment 2705762
Mwanza ni ghorofa Saba plus majengo mawili ya shopping center ....
Kajengo kabaya ....Mwanza kale kajengo kenj mnakopigia kelele ka floor 6 mtakazindua lini?
View attachment 2705762
Wivu eti kabaya 😁😁😁😁Kajengo kabaya ....
Mwanza ni ghorofa Saba plus majengo mawili ya shopping center ....
Katika mikoa mi 3 inayoongoza kwa viwanda vikubwa Tz Arusha haikosekaniMara ya Mwisho kusikia habari za Viwanda Mwanza ilikuwa ni lini?
Kiwanda Cha tablet Arusha
Of course,Kuna Mikoa mingine 4 inakuja Kwa Kasi .Tanga, Shinyanga,Mbeya na DodomaKatika mikoa mi 3 inayoongoza kwa viwanda vikubwa Tz Arusha haikosekani
Acha uongo... home ya wapi?!Mbeya is my second home,Arusha my favorite home,Dom ndio Tanzania baada ya Dar
Nichek what'sappViews kama hizi arusha utazipata wapi??View attachment 2706533View attachment 2706528
Nicheki mkuuNichek what'sapp
Unatumia silaha nzito...wakichomoka hapa wanaume
Hauhitaji kubishiwa unahitaji kuelimishwa kwamba kilimanjaro airport ni kwa ajili ya matukio tu jokes 🤣 😆 nyie ndio wale mnafatilia nchi kwa habari za online....uwanja wa kia pekee unaingiza wageni mara 3 zaidi ya uwanja wa mwanza and it's only 40 kilometres from arusha na bado uwanja wetu mdogo wa arusha nyie ndio mnakimbizana nao huku eti😄Uwanja wa mwanza uko bize muda wote boss, pia ukweli Arusha wanatmia uwanja wa KIA nao hauko bize ila mkubwa Kwa ajili ya events TU lakin now mwanza tena unapanuliwa ndege zote afrika mashariki zitatua mwanza maana ni karibu,
Mwanza pia Kuna hifadhi ya wanyama ipo ndan ya Jiji inaitwa SANANE ISLAND NATIONAL PARK nazan Tanzania ndo mwanza ni Jiji pekee kuwa na mbuga ya wanyama mjini
Sasa Mwanza inaingiza abiria karibia nusu ya abiria wanaotumia KIA na hapo haina international flight! Kwa kifupi Mwanza ingekuwa na Internationala flight msingepishana nayo sana kwa abiria!Hauhitaji kubishiwa unahitaji kuelimishwa kwamba kilimanjaro airport ni kwa ajili ya matukio tu jokes 🤣 😆 nyie ndio wale mnafatilia nchi kwa habari za online....uwanja wa kia pekee unaingiza wageni mara 3 zaidi ya uwanja wa mwanza and it's only 40 kilometres from arusha na bado uwanja wetu mdogo wa arusha nyie ndio mnakimbizana nao huku eti😄View attachment 2707118View attachment 2707118View attachment 2707119
Upo sahihi na itasaidia sana watumiaji wengine wa nchi jirani na mikoa yote ya kanda ya ziwa hasa na hata kuongeza soko la nje la samaki nilichotaka ni kumpa elimu ndugu yangu kuwa kia sio kwa matukio muhimu pekeeSasa Mwanza inaingiza abiria karibia nusu ya abiria wanaotumia KIA na hapo haina international flight! Kwa kifupi Mwanza ingekuwa na Internationala flight msingepishana nayo sana kwa abiria!
Sasa unadhan Hadi ujengwe na KIA itakuwa imelala?! Ujue pia KIA na uwanja wa Ndege wa Arusha ipo kwenye matengenezo na wamepewa wawekezaji kutoka Oman watengeneze...Cha kuijuliza kama uwanja wa Ndege wa Mwanza ungekuwa na potential kwanini wawekezaji wasije huko?Sasa Mwanza inaingiza abiria karibia nusu ya abiria wanaotumia KIA na hapo haina international flight! Kwa kifupi Mwanza ingekuwa na Internationala flight msingepishana nayo sana kwa abiria!
Ni serkali tu haijaamua ushajiuliza kwa nini kwa local flight customers ni wengi Mwanza inaizidi hadi KIA! Mwanza ni potential kwa kila kitu sema tu serkali zetu hizi hazijui kutumia fursa!Sasa unadhan Hadi ujengwe na KIA itakuwa imelala?! Ujue pia KIA na uwanja wa Ndege wa Arusha ipo kwenye matengenezo na wamepewa wawekezaji kutoka Oman watengeneze...Cha kuijuliza kama uwanja wa Ndege wa Mwanza ungekuwa na potential kwanini wawekezaji wasije huko?
Local flights za kutoka Mwanza kwenda wapi ? Local flights kutoka Mwanza kwenda dar ,au kutoka dar kwenda Mwanza lazima ziwe nyingi kutokana na umbali hapo nadhan tumelewanaNi serkali tu haijaamua ushajiuliza kwa nini kwa local flight customers ni wengi Mwanza inaizidi hadi KIA! Mwanza ni potential kwa kila kitu sema tu serkali zetu hizi hazijui kutumia fursa!