Ingekuwa kala trillion 1 hata lissu ndo ingekiwa agenda yake
bwana mdogo kunywa maji upunguze wenge inaonekana wewe Bado ni ngumbalu,zile fedha alizosema CAG Asad hazionekani na jiwe akakataa jamaa kuendelea kufanya uchunguzi Kwa kumuundia zengwe la kumstaafisha wakiongozwa na Kimbunga Jobo zilitumikaje?
Acha kutetea ujinga Huyo unayemwona innocent Kwako alikua Mwizi Kama wezi wengine ila alijificha kwa kivuli Cha Uzalendo uchwara
Haya Ile miradi ya mwendokasi iliyojengwa Chato iliidhinishwa na bunge Gani?
Ilikaguliwa na CAG Gani?
Kwanini walificha ripoti ya Ile miradi?
Unaijua Mayanga Construction ambayo ilichukua tenda ya kujenga Chato international airport ilichukua zabuni kimagumashi wakati sheria inatakiwa tenda kitangazwa na kampuni itakayoshinda Zabuni ndio ipewe mradi
Ilikuaje ikafanya kazi kinyume Cha sheria Kama sio ulikua wizi wa mchana kweupe na order kutoka Kwa jiwe?
Kiufupi mtu wenu alikua mjanja mjanja tu Kama wajanja wengine!