So wakienda Nigeria, Ghana, south Africa, America ,Europe etc. Wanalipwa mawe
Hio vitu hamuwez kua nayo budaa hamutakua nayo vitu classic 🤣🤣🤣🤣Lol.....7 likes kwa kujirudiarudia........yaaaawwwwwwwnnnnnnnnnnn
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww hujiulizi kwann una messages zaidi ya 500 na una likes 300 huoni ni tatizo hilo🤣🤣🤣🤣🤣Lol.....7 likes kwa kujirudiarudia........yaaaawwwwwwwnnnnnnnnnnn
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo humu kutafuta likes 😂😂😂 ujinga bhana.Ww hujiulizi kwann una messages zaidi ya 500 na una likes 300 huoni ni tatizo hilo🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 1359232
SGR kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Novemba, sasa kipo 70%. Kuisha mwaka kesho. Sasa mkopo wa Biashara wa Fedha za kigeni umechukuliwa. Riba 9%. Serikali ipo kwenye panic. Gharama za Ujenzi zinaongezeka ( costs over run ). Mbia mmoja wa Ujenzi ( Mreno) kabwaga manyangaNever huwez kuwaona tena amebakia mmoja tu naye si mwengine ni kiazi huyu👉 mwaswast
Hawapo tens.....midomo yao imeshonwa...wako wapi wale waliokuwa wanalilia tuwaonyeshe kilometer moja ya reli?? [emoji23][emoji23]
Duuuuuuuuhh,,,,kweli chizi ni chizi tu...
Now wamebaki kueneza uwongo wa yule jamaa anayetafuta umaarufu wa kisiasa 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23] ndipo akili yao ilipoishiaNow wamebaki kueneza uwongo wa yule jamaa anayetafuta umaarufu wa kisiasa [emoji23][emoji23][emoji23]
JKIA - Rironi Highway $670mWeka izo project hapa na thaman zake sio suala la kulialia apa nani amekuzuia kuorodhesha? Sasa kama dar pekee inamiradi yenye thaman ya zaidi ya $1.8B exclude SGR japo inaanzia hapa zero km na viaduct yenye urefu wa 2.5km
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kadri siku zinapokwenda wanazidi kubadilisha aina ya ukosoaji 😂😂😂
SGR phase one 1.2b gvt fundSGR kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Novemba, sasa kipo 70%. Kuisha mwaka kesho. Sasa mkopo wa Biashara wa Fedha za kigeni umechukuliwa. Riba 9%. Serikali ipo kwenye panic. Gharama za Ujenzi zinaongezeka ( costs over run ). Mbia mmoja wa Ujenzi ( Mreno) kabwaga manyanga
Asante kwa kutuekea na renders🤣🤣👏👏👏JKIA - Rironi Highway $670m
JKIA - Westlands Expressway $630m
Outer ring and Ng'ong road expansion $170m
Upper hill roads construction $30m
Commuter rail network $25m
Thika road expansion $59m
Ng'ong hills wind power
KenUP $110m
Tatu city $2.5b
Sent using Jamii Forums mobile app
Rironi is 16b ksh inakujaje 630m usd🤣🤣👇👇JKIA - Rironi Highway $670m
JKIA - Westlands Expressway $630m
Outer ring and Ng'ong road expansion $170m
Upper hill roads construction $30m
Commuter rail network $25m
Thika road expansion $59m
Ng'ong hills wind power
KenUP $110m
Tatu city $2.5b
Sent using Jamii Forums mobile app
JKIA westland Express way ...renderJKIA - Rironi Highway $670m
JKIA - Westlands Expressway $630m
Outer ring and Ng'ong road expansion $170m
Upper hill roads construction $30m
Commuter rail network $25m
Thika road expansion $59m
Ng'ong hills wind power
KenUP $110m
Tatu city $2.5b
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona analeta uncount & untotal project kutoka kwa nyanya yake[emoji23]JKIA westland Express way ...render
Thika expansion....render
Tatu city .... white elephant
Etc
JKIA - Rironi Highway $670m
JKIA - Westlands Expressway $630m
Outer ring and Ng'ong road expansion $170m
Upper hill roads construction $30m
Commuter rail network $25m
Thika road expansion $59m
Ng'ong hills wind power
KenUP $110m
Tatu city $2.5b
Sent using Jamii Forums mobile app