Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mjinga umepaniki... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1023393
That was 2017 this is 2019 my friend, mbona hutumii hata akili ? Ama nenda pale katika chumba cha maarifa upewe kiasi.Sasa hivi chakula kipo Kwa wingi hata mahindi serkali imejaza maghala hadi imekosa mahali pa kupeleka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16]na njaa hizi eti waje kupora ng'ombe kwa wasukuma,wamasai na wamng'ati.

Kama smg tutawagawia tu wamasai isiwe tabu.halafu kitakachobaki ni historia ya kabila la wapokoti.
Kwani Sisi hatunaga wamasai? Wamasai na rungu utalinganisha na wapokoti ambao wana AK-47? Kweli kumwelimisha zuzu ni kibarua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Sisi hatunaga wamasai? Wamasai na rungu utalinganisha na wapokoti ambao wana AK-47? Kweli kumwelimisha zuzu ni kibarua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Waambie wavuke boda ya tz,nako kuna ng'ombe za kutosha.waje tuwafundishe mahari haitolewi kwa kukabidhi ng'ombe za wizi,ila mkia wa simba wenye kuvuja damu.

[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe sababu wana AK-47 ndio sababu wanalaza KDF na viatu[emoji23][emoji23].
 

Na huyu ni mkenya mwenzako alietoa hii habari:

So, usiongee lolote kutaka kujivunia sifa za kuisaidia somalia kiulinzi. Mabwana zenu wamewadrag mkakaangwe
 
wewe bila shaka utakuwa ni mpokot.
maana unatoa povu lisilo la kawaida kutetea watu wa jamii yako.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Tanzania ni mbali na Jimbo lao pangekuwa karibu wangefika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]buti imekuwa bilauri[emoji1322]‍[emoji3603][emoji1322]‍[emoji3603][emoji38]wakenya wamenishinda tabia[emoji38][emoji38]
acha tuendelee kum-troll huyu mpokot kilaza. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
We need more people like you. Ni suala la maana sana coz uwanja wa kisasa utaifanya TZ kuwa sports hub EA kama Afrika kusini ilivyo na viwanja vya kisasa vingi kule Joburg, Cape town na Port Elizabeth na Durban
 
Na imagine heavenly view ya Mt Meru kama uwanja huu wa Monterrey, Mexico
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…