Mfano nikinunua hao wwenye mwezi mmoja kutoka kwao itachukua muda gani mpaka na wangu waanze kutaga mayai?
Na ni chakula gani hasa ambacho wanakula, mimi nafuga na kuku wa kienyeji, je nikiwachanganya ina madhara?
Mfano nikinunua hao wwenye mwezi mmoja kutoka kwao itachukua muda gani mpaka na wangu waanze kutaga mayai?
Na ni chakula gani hasa ambacho wanakula, mimi nafuga na kuku wa kienyeji, je nikiwachanganya ina madhara?