Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Basil Pesambili Mramba, ambaye anatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi na kusababishia serikali hasara ya mabilioni ya fedha, ameteuliwa kuwa makamu mwenyekiti wa bodi ya wakala wa barabara nchini (Tanroads) mkoani Kilimanjaro. Mramba anatuhumiwa na wenzake Daniel Yona na Grey Mgonja!!