Angemlamba tu huyo bibi
Dereva awajibishwe. Sheria inasemaje juu ya kukwepa mmoja ili weng wadhurike
Sisi sote ni wa Allah na kwake tutarejea
Pole sana.
Mkuu picha
Dereva awajibishwe. Sheria inasemaje juu ya kukwepa mmoja ili weng wadhurike
umekimbizwa huje ku coment humu?????Lilikuwa linaelekea wapi mkuu?kama lilikuwa linaelekea Mwanza basi lilikuwa katika mwendo mkali sana maana ni mapema mno kuwa limeshavuka Singida zaidi ya km 60!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums