Ndudu , Habari za Uhakika toka Kasulu Basi la Sumry lililokuwa linatoka Kigoma kuelekea Arusha limepata ajali jana asubuhi na kuua huko kasulu.
Habari ni confirmed kwa sababu mm mwenyewe nimepoteza jamaa yangu aliyekuwa anaelekea Arusha. Majeruhi na Maiti walipelekwa jana hiyo hiyo na Ambulance kwenda Hospitali ya Maweni Kigoma.
Idadi ya vifo na majeruhi sikuweza kuulizia kwa sababu nilichanganyakiwa na Kumpoteza jamaa yangu. Wenye taarifa zaidi watafafanua.
Habari ni confirmed kwa sababu mm mwenyewe nimepoteza jamaa yangu aliyekuwa anaelekea Arusha. Majeruhi na Maiti walipelekwa jana hiyo hiyo na Ambulance kwenda Hospitali ya Maweni Kigoma.
Idadi ya vifo na majeruhi sikuweza kuulizia kwa sababu nilichanganyakiwa na Kumpoteza jamaa yangu. Wenye taarifa zaidi watafafanua.