Basi la SUMRY lachinja tena, KASULU

Basi la SUMRY lachinja tena, KASULU

asee pole sana na wafiwa wooote poleni
r.i.p marehemu wote
majeruhi pia poleni saaana
halaf hizi bus ni zile fuso nini
?lool
 
sumry hii sasa too much!!!! kama kuna waliopoteza maisha RIP!! majeruhi Mungu awape ahueni haraka!!!!!
 
Pole kwa wafiwa na majeruhi wapone haraka
 
Eti inasemekana ni mradi huo kuua watu, unaua moja unapata mbili kwa kutumia uelewa mfinyu wa waathirika, nani anaushahidi wa mradi huu?

Aluta Continua!
 
@Nduguyangu, Summry limepata ajali huko same week iliyopita, na sio tu Summry wanaongoza kwa ajali, kuna HOOD, Aboud haya mabasi naona kama wanashindana kwa ajali. Wakijumlisha idadi ya vifo kutokana na ajali za makampuni haya matatu for the last 12 months watu watapatwa na mshutuko.
Hudi siyo kivile kama Summry na Mohamed trans hawa ni vinara wa ajari...
 
Ndudu , Habari za Uhakika toka Kasulu Basi la Sumry lililokuwa linatoka Kigoma kuelekea Arusha limepata ajali jana asubuhi na kuua huko kasulu.

Habari ni confirmed kwa sababu mm mwenyewe nimepoteza jamaa yangu aliyekuwa anaelekea Arusha. Majeruhi na Maiti walipelekwa jana hiyo hiyo na Ambulance kwenda Hospitali ya Maweni Kigoma.

Idadi ya vifo na majeruhi sikuweza kuulizia kwa sababu nilichanganyakiwa na Kumpoteza jamaa yangu. Wenye taarifa zaidi watafafanua.
Pole sana ndugu...
 
jamani trafic,kunakitu ambacho hakiendi sawa kwenye sumry bus, tafadhali fuatilieni
 
SUMM.jpg
 
Back
Top Bottom