Basi la Mtei lachomwa moto

Basi la Mtei lachomwa moto

poleni kwa wafiwa naa poleni abiria kwa kuharibiwa mali zenu ......
 
Haya mabasi ya mtei si yanamilikiwa na mzee mtea ambaye anamiliki pia chama cha chadema? Au....
 
Hapo wa kuchomwa alikua ni Dereva. Sasa watafutwe hao boda boda nao wachomwe.
 
Bus namba T742 ACU limegonga pikipiki iliyokua na watu wanne,watoto 3 wamefariki baba yao kapona hali yake mbaya.
Eneo la Kititimo nje kidogo ya mji wa Singida.
Basi limechomwa moto
 
Si boda boda ni baba mzazi alipakia watoto wake watatu ktk pikipiki wamefariki baba kapona ila hali yake mbaya.
 
Polen wafiwa,polen abilia mlioalibikiwa na mali zenu!!nafikil ingekuwa busara zaidi kama wangemwazibu dereva.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
duu hii kali sasa gari linachomwa dreva anaachwa duu..
 
Mbaya sana kitu kama hiki.
Poleni sana wafiwa wote,
Poleni pia wasafiri mliokutwa na matatizo hayo.
 
Mtei siye huyu wa chadema na wala hawana undugu.
Mtei wa babati alianza miaka mingi sana kutafuta maisha alikuwa fundi viatu miaka ya nyuma kabla hajanunua bedford ya kwanza ambayo ndiyo ilimtoa.
 
Back
Top Bottom