morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,518
- 1,855
mmliki wa mtei express ni mzee mtei wa chadema....?nauliza.
Hapana ni kampuni ya watoto wa ndugu yake na Mtei .
mmliki wa mtei express ni mzee mtei wa chadema....?nauliza.
Daanh pole wafiwa!!!!!!
Pikipiki na.watoto watatu ulikuwa mshkaki???!!!!
Mtei huyuhuyu anaemiliki chama cha siasa?
ni ndugu wa damu na mte wa chadema, mtoto wa baba mkubwa na baba mdogo,.....polen abiria wote kwa hasara kubwa mlio ipata.
Unauliza ndevu kwa Osama?Mzee ni business man hata CHADEMA ni njia ya kumuingizia pesa!mmliki wa mtei express ni mzee mtei wa chadema....?nauliza.
Hapana. Majina ya ukoo yamefanana, wote ni wana asili ya Kilimanjaro. Aliyechomewa basi ni mfanyabishara ya usafirishaji abiria. Alianza name ufundi cherehani(kushona nguo) miaka ya 70,enzi za maduka ya ushirika katika kijiji kidogo cha Bee`rmi,kata ya Dareda,wilaya ya Babati(V),mkoa mpya wa Manyara.mmliki wa mtei express ni mzee mtei wa chadema....?nauliza.
Mtei wachadema au ?
Sheria mkononi atwork,
Au na wewe mwananchi mwenye hasira kali?
Hizi rangi zinafanana na za chama kipi Tanzania?
View attachment 131041
Mkuu weka picha
Unauliza ndevu kwa Osama?Mzee ni business man hata CHADEMA ni njia ya kumuingizia pesa!
Unauliza ndevu kwa Osama?Mzee ni business man hata CHADEMA ni njia ya kumuingizia pesa!
Mtei wa chadema amgonga mwanabodaboda wa chadema...hii yote ni kutokana ugomvi uliopo chadema....ARE YOU HAPPY ?[/QUO
hawa ni watu wawili tafauti kabisa mkuu