Kwahiyo, mizigo yote, parcel zilizotumwa kwa ndg, jamaa na rafiki vyote ni majivu sasa! Wananchi wenye hasira bwana?!! balaa, ila unaweza kuta mwenye bodaboda (pikipiki ndiye aliyechemsha", poleni wote
Mtei wachadema au ?
na bado ,ndiyo kwanza asubuhi, pole sana wafiwa
kwahiyo tuseme CHADEMA wana husika?
poleni chadema
Wananchi wenye hasira au wahuni wa bodaboda?
Acheni kukariri bana, kuna mtei mmoja tu humu duniani? anyway jibu ni sio yeye.mmliki wa mtei express ni mzee mtei wa chadema....?nauliza.
poleni chadema